Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Hatua mbili zilizotangazwa na Serikali dhidi ya gazeti la Mwanahalisi
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 3, 2023
June 3, 2023
Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
June 2, 2023
Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest
June 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Hatua mbili zilizotangazwa na Serikali dhidi ya gazeti la Mwanahalisi
Mix

Hatua mbili zilizotangazwa na Serikali dhidi ya gazeti la Mwanahalisi

February 1, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Baada ya kutolewa kwa onyo dhidi ya gazeti la Mwanahalisi na kuagizwa kuomba radhi, gazeti hilo liliandika barua ya Mhariri na kuomba radhi kutokana na kumuhusisha Rais Magufuli kwenye kichwa cha habari isiyomuhusu.

Sasa leo February 01 2017 imetolewa taarifa kupitia kwa mkurugenzi wa Idara ya habari maelezo Dr. Hassan Abbasi ikiwa ni baada ya kuipata barua ya Mwanahalisi kuomba radhi, taarifa ya leo imeainisha hatua mbili zilizotangazwa dhidi ya gazeti hilo.

  1. Wachapishaji na wahariri wa gazeti la Mwanahalisi wanapewa onyo kali na hatua kali zaidi zitachukuliwa iwapo wateendeleza uandishi unaokiuka maadili ya kitaaluma na sheria za za nchi. 
  2. Kwa kuwa habari husika ilichapishwa kwenye ukurasa wa mbele katika toleo lililopita, Mhariri anaagizwa bila kukosa, achapishe barua ileile ya kuomba radhi katika ukurasa wa mbele katika tolea lijalo la February 6 2017 la gazeti la Mwanahalisi.

UMEPITWA? AyoTVMAGAZETI: Madudu matokeo kidato cha nne, Ruzuku ya CUF sarakasi tupu, Bonyeza play hapa chini 

You Might Also Like

Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.

Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest

Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano

Amnesty yaonya Iran dhidi ya Kunyonga kwa Kesi zinazohusiana na madawa ya kulevya

Elon Musk kwa mara nyingine tena ndiye mtu tajiri zaidi duniani

TAGGED: TZA HABARI
Edwin Kamugisha TZA February 1, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VideoFUPI: Diamond katuonyesha kipisi cha video mpya aliyomshirikisha Mmarekani Neyo
Next Article Miji 10 duniani inayotajwa kuongoza kwa vurugu, Afrika upo mmoja
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 3, 2023
Magazeti June 3, 2023
Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
Top Stories June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
Top Stories June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
Top Stories June 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’

June 2, 2023
Top Stories

Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi

June 2, 2023
Sports

Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest

June 2, 2023
Top Stories

Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano

June 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?