Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mwanafunzi awachoma kisu walimu waliotaka kumchapa
Share
Notification Show More
Latest News
Breaking: William Ruto atangazwa kuwa Rais Kenya, Shangwe na furaha zaibuka mitaani Nairobi
August 15, 2022
Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’
August 15, 2022
Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu
August 15, 2022
Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’
August 15, 2022
Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania
August 15, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Mwanafunzi awachoma kisu walimu waliotaka kumchapa
Top Stories

Mwanafunzi awachoma kisu walimu waliotaka kumchapa

January 13, 2021
Share
1 Min Read
SHARE

Polisi katika kaunti ya Kisii nchini Kenya wanachunguza kisa cha mwanafunzi wa kidato cha tatu anayedaiwa kuwachoma kisu walimu wawili waliomuagiza kufika ofisi ya walimu ili kuwadhibiwa kwa kuchelewa.

Edwin Mokaya, mwalimu wa shule ya Upili ya Kisii anaripotiwa kupata majeraha mabaya katika paji lake la uso wakati mwanafunzi huyo ambaye hakutaka kuadhibiwa alipomshambulia kwa kisu.

Mwalimu wa pili naye, Elvis Maoto, ameripotiwa kupata majeraha mkononi mwake alipojaribu kumzuia mwanafunzi huyo kumshambulia Mokaya.

Wawili hao walikimbizwa katika hospitali ya Ram kaunti ya Kisii wanakopatiwa matibabu, baada ya kutekeleza kisa hicho, mwanafunzi huyo anasemekana alitoweka na kuingia mafichoni ambapo anasakwa.

DC SABAYA AKASIRIKA ATOA SIKU TATU KWA KIONGOZI HUYU “MIL 171 ZILIPWE”

You Might Also Like

Breaking: William Ruto atangazwa kuwa Rais Kenya, Shangwe na furaha zaibuka mitaani Nairobi

Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’

Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu

Azikwa akiwa hai huko Madaba, DC afika eneo la tukio, ‘Jambo hili ni la kinyama’

Rais Samia atoa Bilioni 15 jimboni kwa Shigongo

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA January 13, 2021
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article “Nzige waliopo Kusini mwa Ethiopia wanasambaa Afrika Mashariki” FAO
Next Article Ukaguzi umefanyika kwenye maporomoko ya Mto Rufiji kuzalisha umeme (+picha)
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Breaking: William Ruto atangazwa kuwa Rais Kenya, Shangwe na furaha zaibuka mitaani Nairobi
Top Stories August 15, 2022
Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’
Top Stories August 15, 2022
Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu
Top Stories August 15, 2022
Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’
Sports August 15, 2022

You Might also Like

Sports

Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania

August 15, 2022
Sports

Inter Milan wawapa Yanga cha kusema, Shaffi Dauda atia neno, Manara apigilia msumari

August 15, 2022
Sports

Barbara awatuliza mashabiki wa Simba, wataka Mzungu aachwe wana mashabiki na mbinu za Kocha

August 15, 2022
Sports

Aziz Ki Mfalme mpya town, mchezo dhidi ya Simba SC ya dhihirissha ubora wake, ‘Jemedari amwagia sifa’

August 14, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?