Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mwanajeshi Urusi akiri kuua Ukraine
Share
Notification Show More
Latest News
MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.
March 24, 2023
China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.
March 24, 2023
20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.
March 24, 2023
INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.
March 24, 2023
Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’
March 24, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Mwanajeshi Urusi akiri kuua Ukraine
Top Stories

Mwanajeshi Urusi akiri kuua Ukraine

May 19, 2022
Share
1 Min Read
SHARE

Mwanajeshi wa Urusi anayekabiliwa na kesi ya uhalifu wa kivita nchini Ukraine, Vadim Shishimarin (21) amekiri kosa la kumuua raia ambaye hakuwa na silaha, Mwanajeshi huyo anatuhumiwa kwa kumpiga risasi Mzee wa miaka 62 siku chache baada ya vita nchini Ukraine kuanza.

Waendesha mashtaka wanasema kesi zaidi zinakuja, baada ya kubaini kuna uwezekano wa uhalifu mwingine wa kivita umefanywa na Wanajeshi wa Urusi, hata hivyo Urusi imekanusha kuwa Wanajeshi wake wamewalenga raia.

Kesi hiyo ni ya kwanza ya aina yake tangu uvamizi wa Urusi nchini Ukraine ulipoanza mwezi Februari na imefanyika Kyiv, Ukraine, huku mkalimani akitafsiri kesi katika lugha ya Kirusi kwa Mshtakiwa ambaye ameulizwa kama anakubali hatia yake na akajibu ndio.

Anatuhumiwa kumuua raia huyo, ambaye inadaiwa alikuwa kwenye baiskeli katika eneo la mashariki la Sumy tarehe 28 Februari, siku nne baada ya uvamizi wa Urusi nchini Ukraine, Waendesha mashtaka wanasema Shishimarin alikuwa akiendesha gari lililoibwa akiwa na Wanajeshi wengine ndipo walikutana na mwendesha baiskeli huyo mwenye umri wa miaka 62 akitumia simu na kumpiga risasi ili kuzuia kuwaambia Watetezi wa Ukraine kuhusu eneo lao.

 

You Might Also Like

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.

China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.

20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.

INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.

Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA May 19, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Dkt. Philip Mpango azindua Mpango wa Maendeleo wa UN na Tanzania.
Next Article Mama wa tajiri namba 1 duniani ni mwanamitindo bado
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.
Top Stories March 24, 2023
China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.
Top Stories March 24, 2023
20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.
Top Stories March 24, 2023
INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.
Top Stories March 24, 2023

You Might also Like

Top Stories

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.

March 24, 2023
Top Stories

China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.

March 24, 2023
Top Stories

20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.

March 24, 2023
Top Stories

Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’

March 24, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?