Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mwenendo wa bei za Desemba, “Bei ya Mchele yapanda”
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
June 3, 2023
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo
June 3, 2023
Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India
June 3, 2023
Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky
June 3, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Mwenendo wa bei za Desemba, “Bei ya Mchele yapanda”
Top Stories

Mwenendo wa bei za Desemba, “Bei ya Mchele yapanda”

December 16, 2022
Share
2 Min Read
SHARE
Naibu Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Exhahudi Kigahe amesema bei za vyakula kwa mwezi December mwaka huu zimeendelea kupanda kutokana na vita inayoendelea baina ya Nchi ya Urusi na Ukraine huku akibainisha kuwa sio tu Tanzania tu bali na Mataifa mengine pia huku majanga mengine ikiwa ni ukame ulioathiri mazao ya chakula

Kihage ameyasema hayo Jijini Dar es salaam leo wakati akieleza mwenendo wa bei za bidhaa muhimu nchini kwa mwezi December 2022 na kusema kuwa mfumuko wa bei nchini Tanzania ni wa kiwango cha chini zaidi ikilinganishwa na nchi jirani ambapo Tanzania mfumuko wa bei kwa mwezi November ni asilimia 4.9, Kenya asilimia 7.38, Uganda asilimia 10.6 na Rwanda asilimia 21.7.

Bei ya mchele kwa mwezi December ni kati ya Shilingi 2,200 na 3,500 kwa kilo, bei ya chini na ya juu imepanda kutoka 2,000 na 3,200 kwa kulinganisha na mwezi November, Mikoa yenye bei ya chini ni Katavi na Ruvuma na bei ya juu ipo katika Mikoa ya Dar es Salaam, Kagera, Manyara na Arusha.

Bei ya unga wa ngano kwa mwezi Desemba ni kati ya Shilingi 2,000 na 2,500 kwa kilo, bei ya unga wa ngano imeonesha uhimilivu ikilinganishwa na mwezi Novemba, bei ya juu ipo katika Mikoa ya Manyara, Rukwa na Songwe na bei ya chini ipo katika maeneo mengi nchini.

Bei ya sukari kwa mwezi December ni kati ya Shilingi 2,600 na 3,000 kwa kilo, bei hiyo imeonesha uhimilivu ikilinganishwa na mwezi November, hali hiyo inatokana na jitihada zinazoendelea za kuvutia uwekezaji na kuongeza kiwango cha uzalishaji wa sukari nchini.

You Might Also Like

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia

Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo

Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India

Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky

Edwin TZA December 16, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Zuchu na cheni ya Diamond ya Milioni 500, apewa yake, amuita “Mume wangu”
Next Article Kocha Sanisa afariki Dunia miezi mitatu baada ya kuondoka Bologna
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
Top Stories June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
Top Stories June 3, 2023
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo
Top Stories June 3, 2023
Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India
Top Stories June 3, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia

June 3, 2023
Top Stories

Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F

June 3, 2023
Top Stories

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo

June 3, 2023
Top Stories

Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky

June 3, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?