Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: BoT yawataja waliokuwa wamekopa Bank M ‘Tunawataka waje’
Share
Notification Show More
Latest News
FIFA imethibitisha ratiba ya michezo mingine yote ya Kombe la Dunia la U-20 inayoendelea.
May 30, 2023
Mahakama ya Libya imewahukumu kifo watu 35 kwa kupigania kundi la Islamic State
May 30, 2023
Pangani yatimiza ilani ya vijiji vyote kuwa na umeme.
May 30, 2023
bandari ya dar es salaam yaweka rekodi mpya katika kuhudumia shehena
May 30, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo May 30, 2023
May 30, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > AyoTV > BoT yawataja waliokuwa wamekopa Bank M ‘Tunawataka waje’
AyoTV

BoT yawataja waliokuwa wamekopa Bank M ‘Tunawataka waje’

January 15, 2019
Share
1 Min Read
SHARE

Leo January 15 2019 Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetangaza kuhamisha mali na madeni ya Bank M kwenda Azania Benki  baada ya Benki hiyo kuwa na upungufu mkubwa wa ukwasi kinyume na matakwa ya sheria ya mabenki na taasisi za fedha ya mwaka 2006 na kanuni zake.

Baada ya kutangaza kuhamisha mali za Benki M, Naibu Gavana wa Benki kuu ya Tanzania Dk. Bernad Kibese amewataja baadhi ya wadaiwa wa iliyokuwa Bank M na kuwataka kulipa madeni hayo.

” Hawa ni baadhi ya share-holder’s waliokuwa na mikopo,  tunawataka waje ndani ya siku saba kuanzia kesho” Dk. Bernad Kibese

BREAKING: BOT imehamisha mali na madeni ya Benk M kwenda Azania Benk

You Might Also Like

FIFA imethibitisha ratiba ya michezo mingine yote ya Kombe la Dunia la U-20 inayoendelea.

Mahakama ya Libya imewahukumu kifo watu 35 kwa kupigania kundi la Islamic State

Pangani yatimiza ilani ya vijiji vyote kuwa na umeme.

Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi

Marekani yabatilisha visa ya spika wa bunge la Uganda baada ya saini Mswada mkali wa ushoga kuwa sheria

TAGGED: TZA HABARI
Admin January 15, 2019
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mwezi May Kim & Kanye West wanategemea kupata Mtoto wa nne
Next Article Mwisho Misukosuko: “Ilibidi nioe ili nipate documents, ndoto yangu ilitimia”
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

FIFA imethibitisha ratiba ya michezo mingine yote ya Kombe la Dunia la U-20 inayoendelea.
Top Stories May 30, 2023
Mahakama ya Libya imewahukumu kifo watu 35 kwa kupigania kundi la Islamic State
Top Stories May 30, 2023
Pangani yatimiza ilani ya vijiji vyote kuwa na umeme.
Top Stories May 30, 2023
bandari ya dar es salaam yaweka rekodi mpya katika kuhudumia shehena
Top Stories May 30, 2023

You Might also Like

Top Stories

FIFA imethibitisha ratiba ya michezo mingine yote ya Kombe la Dunia la U-20 inayoendelea.

May 30, 2023
Top Stories

Mahakama ya Libya imewahukumu kifo watu 35 kwa kupigania kundi la Islamic State

May 30, 2023
Top Stories

Pangani yatimiza ilani ya vijiji vyote kuwa na umeme.

May 30, 2023
Top Stories

Katibu Mkuu CCM amuagiza haya RC wa Iringa, kuhakikisha kituo hiki cha Afya kimefunguliwa na kuanza kutoa huduma

May 30, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?