Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Ujumbe wa Nape Nnauye kuhusu CCM kwenye maadhimsho ya Muungano
Share
Notification Show More
Latest News
Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)
May 31, 2023
Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo
May 31, 2023
Isaac anayedaiwa kumng’oa Jino mke wake afikishwa Mahakamani, anyimwa Dhamana
May 31, 2023
Katibu wa CCM Daniel Chongolo atoa siku 10 kwa Waziri wa Maji kukamilisha mradi wa maji katika Wilaya ya Kilolo
May 31, 2023
Rais Mwinyi azindua kamati ya maridhiano
May 31, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > social network > Ujumbe wa Nape Nnauye kuhusu CCM kwenye maadhimsho ya Muungano
social network

Ujumbe wa Nape Nnauye kuhusu CCM kwenye maadhimsho ya Muungano

April 26, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Leo April 26, 2017 Tanzania imeadhimisha miaka 53 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar katika sherehe zilizofanyika mjini Dodoma ambapo viongozi mbalimbali wamekuwa wakitoa pongezi kwa serikali ya Jamhuri ya Muungano kwa kutimiza miaka hiyo.

Mmoja wa watu walioguswa na maadhimisho hayo ni Mbunge wa Mtama ambaye aliwahi kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM na Waziri wa zamani wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Nape Nnauye akitumia account yake ya Instagram na kuandika: “CCM bado ni chama bora cha mfano kwa Afrika!!! Ni imara na kina historia ndefu, nzuri iliyotukuka sana!! Ndio waasisi wa Muungano wetu, TUUDUMISHE!!!!
#miaka53yamuunganowatanganyikanazanzibar.” – Nape Nnauye

CCM bado ni chama bora cha mfano kwa Afrika!!!Ni imara na kina historia ndefu,nzuri iliyotukuka sana!!Ndio waasisi wa Muungano wetu,TUUDUMISHE!!!! #miaka53yamuunganowatanganyikanazanzibar

A post shared by Nape Moses Nnauye (@napennauye) on Apr 25, 2017 at 11:32pm PDT

Video: LIVE: Nape Nnauye alichoongea baada ya kuvuliwa Uwaziri >>>

Video: FULL VIDEO: Nape alivyozuiwa na Polisi “alietoa Bastola aje hapa’ >>>

You Might Also Like

Rais Samia awaongezea hela Yanga na kawapa ndege

Waziri Nape awa mkali wanaopiga cha juu ‘Haya ni maagizo ya Rais’ (video+)

Waziri Nape atolea ufafanuzi kuhusu Bunge kutooneshwa live

Live: Rais Samia akiwasalimia Wananchi wa Butiama mjini mkoani Mara

Picha : Rais Samia alivyoshiriki tamasha la utamaduni na kutunukiwa vazi huko Kilimanjaro

TAGGED: CCM, Facebook Twitter na Insta, nape nnauye, siasa, siasa za Tanzania
Admin April 26, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VIDEO: JPM akizungumza kwenye sherehe za Muungano Dodoma
Next Article VIDEO: Kwa wanaosema Alikiba hapost show za tour zake iwafikie hii
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)
Top Stories May 31, 2023
Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo
Top Stories May 31, 2023
Isaac anayedaiwa kumng’oa Jino mke wake afikishwa Mahakamani, anyimwa Dhamana
Top Stories May 31, 2023
Katibu wa CCM Daniel Chongolo atoa siku 10 kwa Waziri wa Maji kukamilisha mradi wa maji katika Wilaya ya Kilolo
Top Stories May 31, 2023

You Might also Like

Top Stories

Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)

May 31, 2023
Top Stories

Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo

May 31, 2023
Top Stories

Isaac anayedaiwa kumng’oa Jino mke wake afikishwa Mahakamani, anyimwa Dhamana

May 31, 2023
Top Stories

Rais Mwinyi azindua kamati ya maridhiano

May 31, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?