Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: FULLVIDEO: Alichokizungumza Nape Nnauye alipokutana na Waandishi wa Habari
Share
Notification Show More
Latest News
Basata wafika kwenye msiba wa H Mbizo Morogoro, ‘Mazishi ni Dar’
January 28, 2023
The After Party ya Marioo kufanyika Elements Bar Masaki DSM Usiku wa leo
January 28, 2023
Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro
January 28, 2023
Uamuzi wa Baraza la Mashekhe Mkoa kuhusu Ndoa ya Dr Mwaka na Queen Masanja
January 28, 2023
Ukatili wa Wanafunzi shuleni, “Maafisa Elimu wapewa rungu”, washughulikieni Walimu
January 28, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > AyoTV > FULLVIDEO: Alichokizungumza Nape Nnauye alipokutana na Waandishi wa Habari
AyoTV

FULLVIDEO: Alichokizungumza Nape Nnauye alipokutana na Waandishi wa Habari

March 23, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Leo asubuhi ya March 23 2017 taarifa kutoka IKULU ilieleza kwamba nafasi ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo amepewa Dr. Harrison Mwakyembe, baadaye Nape Nnauye alitoa taarifa kuwa atazungumza na Waandishi wa Habari lakini Meneja wa Hotel ambayo mkutano ulitakiwa ufanyike alisema ameagizwa kuwaambia Waandishi watawanyike na hakutakuwa na mkutano.

Saa chache baadae Nape Nnauye alifika eneo hilo na aliongea na waandishi akiwa juu ya gari. Bonyeza play hapa chini kutazama full video ya alichokiongea.

VIDEO: Alichoongea Nape Nnauye kwa mara ya kwanza baada ya kuvuliwa Uwaziri. Bonyeza play hapa chini kutazama.

You Might Also Like

Waagizaji, Wazalishaji chuma watakiwa kuzingatia Viwango TBS

“Msiangalie mtu usoni kutoa Shahada ya Uzamili, Uzamivu” Mkenda

Mwalimu akutwa amefariki chumbani kwake

Miradi 630 ya Dola Bilioni 3.68 imesajiliwa

Huduma ya kujipima UKIMWI mahala pa kazi

TAGGED: Dar es salaam NEWS, TZA HABARI
Edwin Kamugisha TZA March 23, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VideoFUPI: Harmorapa alivyofika kumuona Nape, Bastola ilipotolewa akatimua mbio
Next Article Alichokikuta Rais Magufuli baada ya kufanya ziara ya kushitukiza bandari DSM leo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Basata wafika kwenye msiba wa H Mbizo Morogoro, ‘Mazishi ni Dar’
Entertainment January 28, 2023
The After Party ya Marioo kufanyika Elements Bar Masaki DSM Usiku wa leo
Entertainment January 28, 2023
Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro
Top Stories January 28, 2023
Uamuzi wa Baraza la Mashekhe Mkoa kuhusu Ndoa ya Dr Mwaka na Queen Masanja
Top Stories January 28, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro

January 28, 2023
Top Stories

Ukatili wa Wanafunzi shuleni, “Maafisa Elimu wapewa rungu”, washughulikieni Walimu

January 28, 2023
Top Stories

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”

January 27, 2023
Top Stories

Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa

January 27, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?