March 16 wasanii wa muziki Tanzania wamekutana na waziri wa habari, vijana, sanaa, utamaduni na michezo Nape Nnauye kujadili mambo kadhaa ikiwemo ugawaji wa mirabaha ya kazi zao, wasanii wamejadiliana na waziri amethibitisha kuwa serikali ina mpango wa kurasimisha sanaa kuwa kazi rasmi. Stori kamili nakusogezea video Ayo Tv.

Kutoka Kushoto Nahreel, Cyril na Aika

Pale wasanii hoja zilipo wafurahisha

Waziri Nape Nnauye

Fid Q

Producer wa muziki P Funk

Linex

Afsa Kazinja

Ukafika wakati wa Snura kuchangia

Wasanii wakisikiliza hoja

Mrisho Mpoto

Meneja wa Diamond Platnumz ‘Bab Tale’

Wasanii na wadau wa sanaa waliohudhuria

Mwana FA

Peter Msechu alikuwepo pia

Barnaba wakati wa kutoa mtazamo wake
Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO‘ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana na MillardAyo kwenye Twitter, FB, Instagram na YouTUBE wa kubonyeza hapa >>>INSTAGRAMTWITTERFBYOUTUBEya