Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: “Katuni ni chombo cha mawasiliano” – Nathan Mpangala
Share
Notification Show More
Latest News
Utacheka: Mwijaku apanda gari la Diamond ‘Rolls Royce’, Zuchu aangua kicheko, Baba Levo atia neno
August 19, 2022
Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
August 19, 2022
Kiwanda cha Chai Mponde Ujenzi wake umefikia 95%
August 18, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > “Katuni ni chombo cha mawasiliano” – Nathan Mpangala
Habari za MastaaMix

“Katuni ni chombo cha mawasiliano” – Nathan Mpangala

May 5, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Leo May 5, 2017 kupitia Clouds 360 ya Clouds TV msanii wa sanaa ya michoro ya vibonzo ‘katuni’ kwenye magazeti Nathan Mpangala amesema kuwa lengo la kazi hiyo ni kuwasilisha ujumbe kwa jamii na kufurahisha.

Nathan Mpangala ambaye ameanza rasmi kuchora vibonzo zaidi ya miaka 15 iliyopita anajulikana zaidi kupitia vibonzo kama vile Mtu kwao, Mzungu mtaani Manyusi na vinginevyo akisema kuwa kazi hiyo inalenga kuwasilisha ujumbe na kufurahisha 

“Nimechora vibonzo vingi sana Mtu Kwao, Mzungu, Mtaani, Manyusi na vibonzo vingine vingi. Nilianza mwaka 1998 mpaka sasa nina miaka zaidi 15 ndani ya uchoraji.

“Katuni ni chombo cha mawasiliano ambacho moja ya kazi yake ni kufikirisha na kukufanya ucheke. Kuna aina tofauti za uchoraji, inategemea na mchoraji. Kwa mimi nilisomea Fine Art.” –  Nathan Mpangala. 

Baadhi ya katuni alizowai kuchora mchoraji Nathan Mpangala 

VIDEO: Maamuzi mapya ya Asley baada kukabidhiwa wasanii sita…

You Might Also Like

Kiwanda cha Chai Mponde Ujenzi wake umefikia 95%

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 17, 2022

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 13, 2022

Mwana FA alivyoungana na Viongozi mbalimbali kuhamasisha Zoezi la Sensa, Masuguru Wilayani Muheza

Bwawa la Mwalimu nyerere sasa kazi ni Usiku na Mchana, ‘kukamilika June 2024’ Waziri Makamba anena

TAGGED: Dar es salaam, katuni, Pichaz
Victor Kileo TZA May 5, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VIDEO: Askari Wanawake Uganda wakifundishwa kuendesha Gari
Next Article Kama unandoto ya kumiliki Ardhi hii isikupite
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Utacheka: Mwijaku apanda gari la Diamond ‘Rolls Royce’, Zuchu aangua kicheko, Baba Levo atia neno
Entertainment August 19, 2022
Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
Entertainment August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
Top Stories August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
Magazeti August 19, 2022

You Might also Like

Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 18, 2022

August 18, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 16, 2022

August 16, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 15, 2022

August 15, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 14, 2022

August 14, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?