Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mabibi na Mabwana!! ushindi huu ni wa Nedy Music AFRIMA 2018
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 3, 2023
February 3, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo February 3, 2023
February 3, 2023
Breaking: Sheikh Mkuu DSM atumbuliwa, sakata la Dr Mwaka na mkewe
February 2, 2023
Mason Greenwood afutiwa mashtaka
February 2, 2023
Tanzania Ligi namba 5 kwa Ubora Afrika
February 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Mabibi na Mabwana!! ushindi huu ni wa Nedy Music AFRIMA 2018
Habari za Mastaa

Mabibi na Mabwana!! ushindi huu ni wa Nedy Music AFRIMA 2018

November 25, 2018
Share
2 Min Read
SHARE

Mwimbaji wa Bongo Fleva Nedy Music ambaye pia yupo chini ya record label ya PKP ameshinda tuzo ya ‘African Fans Favourite” katika tuzo za AFRIMMA zilizofanyika November 24 2018 Ghana.

Nedy Music ametumia ukurasa wake wa Instagram kuwashukuru wale wote waliompigia kura ikiwa pamoja na wimbo uliomfanya apate tuzo hiyo “One and Only” aliomshirikisha Ruby.

Neddy Music ameandika >>> “Asante Mungu🙏Safari hii imekuwa kubwa na yenye matunda sana kwangu . Ninamshukuru Mungu, familia yangu, timu yangu na Mashabiki wangu wote ndani na nje kwa kunisapoti hasa kijana wenu katika kazi yangu ya muziki na Kuhakikisha nasukuma gurudumu la muziki mbele zaidi”

“Bila kusahau Vyombo vyote vya Habari Tanzania na duniani kote, yote ilianza kama ndoto lakini kujiamini kwa kile nilichokua nafanya kwa bidii na kuzingatia kile nilichokua nataka mbeleni ingali bado safar ni ndefu kwangu….sisemi haya kwa kujisifu lakini kuwa mshindi kwenye tuzo kubwa kama hii ambazo zinaunganisha mataifa 52 Ni kubwa sana kwangu na Nchi yangu pia 🇹🇿”

“Mashabiki wangu wote na wapenda burudani ambao hamkuchoka kupiga kura kila sku Asanteni sana sana,🙏🙏Naomba mzidi kunisapot nami nawaahidi kutowaangusha… Kubwa Zangu Shukran kwa My Brother @ommydimpoz Kwa Jinsi ulivyonishika na kunisaidia kusogeza hatua yangu sitaacha kutoa shukran zangu kwako”

“Kila hatua ntayoendelea nayo kwangu🙏 Pia Producer wa Wimbo uliopelekea kuwa kwenye kinyang’anyiro @yogobeats🙏 na msanii nilieshiriki nae fika @iamrubyafrica Bila kumsahau Bwana Director @hanscana_ 🤝 Thanks @afrimawards for this award🙏 “African fan’s favourite “ 🏆

MICHAEL JACKSON WA TANZANIA AKICHEZA “HOLD ME” YA MICHAEL JACKSON, BONYEZA PLAY HAPA CHINI KUMTAZAMA

GIGY MONEY: “NILIUZA MWILI WANGU ILI NIMLIPIE MAMA YANGU DENI BENKI” BONYEZA PLAY HAPA CHINI KUMTAZAMA

You Might Also Like

Exclusive: Dully Vanny kwa uchungu azungumzia video chafu aliyotajwa, amtaja diamond na mama yake

Audiomack yazindua kampeni ya ‘Ngoma juu ya ngoma’ kukuza muziki wa kitanzania

Exclusive: Con boi kafunguka hana mawasiliano na Lunya,Quick Rocka, akumbuka kifo cha mpenzi wake

Mkali Burna boy ametuletea hii video mpya akiwa amemshirikisha Ed Sheeran

Tazama alichokifanya Diamond mbele ya Wizkid backstage, ampa Shavu Focalistic (video+)

TAGGED: bongofleva news
Admin November 25, 2018
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Kusitishwa Fiesta: “Imegusa watu wengi Mama kazimia hasara Million 6” (+Video)
Next Article Show ya Alikiba na Kings Music Live Kahama (+video)
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 3, 2023
Magazeti February 3, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo February 3, 2023
Magazeti February 3, 2023
Breaking: Sheikh Mkuu DSM atumbuliwa, sakata la Dr Mwaka na mkewe
Top Stories February 2, 2023
Mason Greenwood afutiwa mashtaka
Sports February 2, 2023

You Might also Like

Sports

Tanzania Ligi namba 5 kwa Ubora Afrika

February 2, 2023
Sports

Mchezaji mwenye umri mkubwa (55) asaini Ureno

February 2, 2023
Sports

PSG wachukizwa na Chelsea kukwamisha usajili wa Ziyech

February 1, 2023
Sports

Enzo avunja rekodi ya Uingereza usajili

February 1, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?