Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mabibi na Mabwana!! ushindi huu ni wa Nedy Music AFRIMA 2018
Share
Notification Show More
Latest News
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
June 2, 2023
Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest
June 2, 2023
Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano
June 2, 2023
Amnesty yaonya Iran dhidi ya Kunyonga kwa Kesi zinazohusiana na madawa ya kulevya
June 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Mabibi na Mabwana!! ushindi huu ni wa Nedy Music AFRIMA 2018
Habari za Mastaa

Mabibi na Mabwana!! ushindi huu ni wa Nedy Music AFRIMA 2018

November 25, 2018
Share
2 Min Read
SHARE

Mwimbaji wa Bongo Fleva Nedy Music ambaye pia yupo chini ya record label ya PKP ameshinda tuzo ya ‘African Fans Favourite” katika tuzo za AFRIMMA zilizofanyika November 24 2018 Ghana.

Nedy Music ametumia ukurasa wake wa Instagram kuwashukuru wale wote waliompigia kura ikiwa pamoja na wimbo uliomfanya apate tuzo hiyo “One and Only” aliomshirikisha Ruby.

Neddy Music ameandika >>> “Asante Mungu🙏Safari hii imekuwa kubwa na yenye matunda sana kwangu . Ninamshukuru Mungu, familia yangu, timu yangu na Mashabiki wangu wote ndani na nje kwa kunisapoti hasa kijana wenu katika kazi yangu ya muziki na Kuhakikisha nasukuma gurudumu la muziki mbele zaidi”

“Bila kusahau Vyombo vyote vya Habari Tanzania na duniani kote, yote ilianza kama ndoto lakini kujiamini kwa kile nilichokua nafanya kwa bidii na kuzingatia kile nilichokua nataka mbeleni ingali bado safar ni ndefu kwangu….sisemi haya kwa kujisifu lakini kuwa mshindi kwenye tuzo kubwa kama hii ambazo zinaunganisha mataifa 52 Ni kubwa sana kwangu na Nchi yangu pia 🇹🇿”

“Mashabiki wangu wote na wapenda burudani ambao hamkuchoka kupiga kura kila sku Asanteni sana sana,🙏🙏Naomba mzidi kunisapot nami nawaahidi kutowaangusha… Kubwa Zangu Shukran kwa My Brother @ommydimpoz Kwa Jinsi ulivyonishika na kunisaidia kusogeza hatua yangu sitaacha kutoa shukran zangu kwako”

“Kila hatua ntayoendelea nayo kwangu🙏 Pia Producer wa Wimbo uliopelekea kuwa kwenye kinyang’anyiro @yogobeats🙏 na msanii nilieshiriki nae fika @iamrubyafrica Bila kumsahau Bwana Director @hanscana_ 🤝 Thanks @afrimawards for this award🙏 “African fan’s favourite “ 🏆

MICHAEL JACKSON WA TANZANIA AKICHEZA “HOLD ME” YA MICHAEL JACKSON, BONYEZA PLAY HAPA CHINI KUMTAZAMA

GIGY MONEY: “NILIUZA MWILI WANGU ILI NIMLIPIE MAMA YANGU DENI BENKI” BONYEZA PLAY HAPA CHINI KUMTAZAMA

You Might Also Like

Meneja Chambuso afunguka kubwagana na Aslay

B Dozen amjibu Majizzo, Maulid Kitenge apigilia Msumari

Kwa mara ya kwanza Kajala afunguka sababu za kuachana na Harmonize, aibua mapya

Harmonize aibua mapywa, afichua ya Dada wa Diamond, aeleza alivyoshiriki kwenye wimbo huu mpya

Tazama Diamond ‘Sheikh Mansoor’ akiwapokea Watoto wake Airport na Rolls Royce ‘Tiffah na Nillah’

TAGGED: bongofleva news
Admin November 25, 2018
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Kusitishwa Fiesta: “Imegusa watu wengi Mama kazimia hasara Million 6” (+Video)
Next Article Show ya Alikiba na Kings Music Live Kahama (+video)
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
Top Stories June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
Top Stories June 2, 2023
Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest
Sports June 2, 2023
Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano
Top Stories June 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi

June 2, 2023
Top Stories

Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.

June 2, 2023
Sports

Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest

June 2, 2023
Top Stories

Amnesty yaonya Iran dhidi ya Kunyonga kwa Kesi zinazohusiana na madawa ya kulevya

June 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?