Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Kauli ya leo ya Chadema kuhusu Mwenyekiti wake kutekwa, mpya ya Polisi kuwashika kadhaa ipo pia
Share
Notification Show More
Latest News
Muda wa kusitisha mapigano nchini Sudan warefushwa kwa siku 5
May 30, 2023
UAE kutuma chombo cha anga kugundua dalili kuhusu asili ya maisha duniani.
May 30, 2023
Uganda yapitisha sheria mpya dhidi ya wizi wa viungo vya binadamu
May 30, 2023
Mpishi wa timu ya Arsenal Bernice Kariuki astaafu
May 30, 2023
‘June 2024 kila kijiji kitakuwa na Umeme’- Waziri Makamba
May 30, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Kauli ya leo ya Chadema kuhusu Mwenyekiti wake kutekwa, mpya ya Polisi kuwashika kadhaa ipo pia
Top Stories

Kauli ya leo ya Chadema kuhusu Mwenyekiti wake kutekwa, mpya ya Polisi kuwashika kadhaa ipo pia

January 8, 2014
Share
2 Min Read
SHARE

ununio6Ni headlines ambazo zimemiliki vyombo vya habari toka jana January 7 2014 kuhusu Mwenyekiti huyu wa Chadema wilayani Temeke Dar es salaam Joseph Yona kutekwa, kupigwa na kutupwa saa tisa usiku Ununio wilayani Kinondoni Dar es salaam.

Anasema baada ya kuchukuliwa baa na watu waliokua na gari kama la Polisi na kujitambulisha kwamba ni Polisi, walimwambia wanampeleka Central lakini walipokua njiani wakamziba uso kwa nguo na kuanza kumpiga kabla ya kumtupa.

Mpaka jana jioni wakati inamalizika kesi ya Zitto Kabwe dhidi ya CHADEMA Mahakama kuu kanda ya Dsm, Mh. Tundu Lissu alisema hajui chochote kuhusu kupigwa kwa Mwenyekiti huyu na ndio kwanza alikua anazisikia hizo taarifa wakati anaulizwa jioni hiyo.

Leo Chadema kupitia katibu wa chama hicho Dar es salaam Henry Kilewo kimesema ‘tunalitaka jeshi la polisi kuchunguza hili tukio ili ukweli ujulikane na haki itendeke kwa sheria kuchukua mkondo wake, vilevile jeshi la Polisi linapaswa kuyachukulia kwa uzito mkubwa matukio ya aina hii yanayoanza kuota mzizi kutokana na watu waovu wanaotekeleza na kutokuchukuliwa hatua za kisheria’

ununio7Baada ya hii kauli ya Chadema, Kamanda wa Polisi kanda maalum ya Dar es salaam Suleiman Kova anasema ‘mpaka sasa tumeshakamata watu wawili ambao siwezi kuwataja, ni kati ya wale waliosemekana kufanya huu utekaji na bado oparesheni inaendelea’

You Might Also Like

Muda wa kusitisha mapigano nchini Sudan warefushwa kwa siku 5

UAE kutuma chombo cha anga kugundua dalili kuhusu asili ya maisha duniani.

Uganda yapitisha sheria mpya dhidi ya wizi wa viungo vya binadamu

Mpishi wa timu ya Arsenal Bernice Kariuki astaafu

‘June 2024 kila kijiji kitakuwa na Umeme’- Waziri Makamba

Millard Ayo January 8, 2014
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Ni NMB tena, imeibuka na ushindi ktk kuwasilisha taarifa ya fedha
Next Article Ronaldo amejibuje alipoulizwa kama atahudhuria Ballon d’Or? na akishindwa je?
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Muda wa kusitisha mapigano nchini Sudan warefushwa kwa siku 5
Top Stories May 30, 2023
UAE kutuma chombo cha anga kugundua dalili kuhusu asili ya maisha duniani.
Top Stories May 30, 2023
Uganda yapitisha sheria mpya dhidi ya wizi wa viungo vya binadamu
Top Stories May 30, 2023
Mpishi wa timu ya Arsenal Bernice Kariuki astaafu
Top Stories May 30, 2023

You Might also Like

Top Stories

Muda wa kusitisha mapigano nchini Sudan warefushwa kwa siku 5

May 30, 2023
Top Stories

UAE kutuma chombo cha anga kugundua dalili kuhusu asili ya maisha duniani.

May 30, 2023
Top Stories

Uganda yapitisha sheria mpya dhidi ya wizi wa viungo vya binadamu

May 30, 2023
Top Stories

‘June 2024 kila kijiji kitakuwa na Umeme’- Waziri Makamba

May 30, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?