Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Rais Magufuli kawapa vyeo vipya Diwani Athumani na Jaji Warioba
Share
Notification Show More
Latest News
Morgan Heritage kuachia album wasanii 16 washirikishwa
March 23, 2023
Baada ya uchaguzi kufutwa Arusha, makada wawili wajitokeza kuchukua fomu yupo mbunge na kada gonga
March 23, 2023
Serikali yashauriwa kuongeza Bajeti ya Usimamizi wa Usalama na Afya nchini
March 23, 2023
Mohammed Hussein afunguka haya kuhusu kutoitwa kwenye timu ya Taifa, ‘Taifa Stairs’
March 23, 2023
DC Jokate Mwegelo awataka hili Wafanyabiashara Wilayani humo ‘Bei za Vyakula’
March 23, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Rais Magufuli kawapa vyeo vipya Diwani Athumani na Jaji Warioba
Mix

Rais Magufuli kawapa vyeo vipya Diwani Athumani na Jaji Warioba

November 18, 2016
Share
2 Min Read
SHARE

Ni habari za uteuzi mpya kutoka IKULU Dar es salaam ambapo Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr. John Magufuli amefanya uteuzi mpya kwenye sehemu sita.

  1. Rais Magufuli leo tarehe 18 Novemba, 2016 amemteua aliyekuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) Diwani Athuman kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera na uteuzi huu unaanza mara moja.

    Diwani Athumani
    Diwani Athumani
  2. Rais Magufuli amemteua Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jaji Joseph Sinde Warioba kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha kilimo cha Sokoine (SUA) na uteuzi huu umeanza tarehe 16 Novemba, 2016.
  3. Rais Magufuli amemteua Dkt. Jones A. Kilimbe kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) na amemteua Sylvester M. Mabumba kuwa makamu Mwenyekiti wa Bodi ya mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) kuanzia November 17 2016.
  4. Rais Magufuli amemteua Prof. Patrick Makungu kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya shirika la Uhandisi na usanifu Mitambo (TEMDO) na uteuzi huu umeanza tarehe 16 Novemba, 2016.

  5. Rais Magufuli amemteua Martin Madekwe kuwa mwenyekiti wa Bodi ya mfuko wa fidia ya ardhi ambapo uteuzi wake umeanza tarehe 17 Novemba, 2016.

  6. Rais Magufuli amemteua Prof. Raphael Tihelwa Chibunda kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wakurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Viuatilifu vya Kitropiki Tanzania (TPRI) na uteuzi wake umeanza tarehe 17 Novemba, 2016.

VIDEO: Ulizikosa dakika 16 za Rais Magufuli akitoa tathmini ya uongozi wake baada ya mwaka mmoja? bonyeza play hapa chini

You Might Also Like

Morgan Heritage kuachia album wasanii 16 washirikishwa

WASHINGTON:Mkurugenzi Mtendaji wa TikTok “kampuni hii sio wakala wa Uchina au nchi nyingine yoyote”.

Wanandoa mahakamani wakidai haki ya kumpatia mtoto wao jina Kuzimu (Hades).

Beijing:Idadi ya watu kwenye mji mkuu wa China, yashuka kwa mara ya kwanza tangu 2017.

Siku ya utabiri wa hali ya hewa duniani.

TAGGED: Rais Magufuli, TZA HABARI
Millard Ayo November 18, 2016
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article TRAILERS: Movie 7 utazikuta Cinema Dar es salaam leo Nov 18
Next Article VIDEO: Polisi Makao makuu kuhusu tuhuma za rushwa dhidi ya Kamanda Sirro
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Morgan Heritage kuachia album wasanii 16 washirikishwa
Entertainment March 23, 2023
Baada ya uchaguzi kufutwa Arusha, makada wawili wajitokeza kuchukua fomu yupo mbunge na kada gonga
Top Stories March 23, 2023
Serikali yashauriwa kuongeza Bajeti ya Usimamizi wa Usalama na Afya nchini
Top Stories March 23, 2023
Mohammed Hussein afunguka haya kuhusu kutoitwa kwenye timu ya Taifa, ‘Taifa Stairs’
Sports March 23, 2023

You Might also Like

Sports

Simba SC waingia Mkataba na MobiAd

March 23, 2023
Sports

Simba yaandika historia Ligi ya Mabingwa Afrika

March 22, 2023
Sports

Sheria Ngowi kutengeneza jezi za Zanzibar Heroes kwa miaka mitano

March 18, 2023
SportsTop Stories

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

March 17, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?