Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Nicki Minaj alipigwa STOP kuperform Angola jumamosi hii! Show itaendelea?!
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
June 2, 2023
Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest
June 2, 2023
Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano
June 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Nicki Minaj alipigwa STOP kuperform Angola jumamosi hii! Show itaendelea?!
Habari za Mastaa

Nicki Minaj alipigwa STOP kuperform Angola jumamosi hii! Show itaendelea?!

December 17, 2015
Share
2 Min Read
SHARE

Msanii kutokea Marekani, Nicki Minaj jana aliziandika headlines kwenye kurasa za burudani baada ya taarifa kusambaa kuwa amepigwa stop kwenda kutoa show Angola jumamosi ya tarehe 19 December wiki hii, kutokana na Wanaharakati wa haki za binadamu nchini Angola kupinga kufanyika kwa show hiyo.

Angola3

Wanaharakati hao walimuandikia Nicki Minaj barua kumuomba rapper huyo asitishe show hiyo  ya Christmas iliyoandaliwa na kampuni ya simu ya Unitel, kampuni inayomilikiwa na familia ya Rais wa Angola, Rais Jose Eduardo kwa madai ya kuwa show hiyo ya Christmas imeandaliwa na fedha za rushwa hivyo haitakuwa sawa kwa yeye kukubali kutoa show hiyo!

Angola4

Leo December 17 2015 stori kuhusu show ya Nicki Minaj nchini Angola ipo tofauti sana… Show ya rapper huyo itafanyika kama kawaida licha ya pingamizi hilo kutoka kwa Wanaharakati wa Haki za binadamu. Kupitia Instagram page yake, Nicki alipost picha na caption iliyosema…

>>> “ANGOLA! Mpo tayari kwa ajili ya show?!???! Can’t wait to see you guys! Nunueni ticketz zenu!” <<< @NickiMinaj

Angola1

Baada ya kushare news hiyo na zaidi ya watu milion 47 wanaomfuatilia rapper huyo kwenye Instagram, Nicki Minaj akaamua kushare na watu wake wa Twitter hisia zake…

>>> “Kila neno baya litakalosema juu yangu litahukumiwa” <<< @NickiMinaj.

Angola2

Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana na Millard Ayo kwenye Twitter, FB, Instagram na YouTUBE kwa kubonyeza hapa >>> INSTAGRAM TWITTER FB YOUTUBE.

 

You Might Also Like

Meneja Chambuso afunguka kubwagana na Aslay

B Dozen amjibu Majizzo, Maulid Kitenge apigilia Msumari

Kwa mara ya kwanza Kajala afunguka sababu za kuachana na Harmonize, aibua mapya

Harmonize aibua mapywa, afichua ya Dada wa Diamond, aeleza alivyoshiriki kwenye wimbo huu mpya

Tazama Diamond ‘Sheikh Mansoor’ akiwapokea Watoto wake Airport na Rolls Royce ‘Tiffah na Nillah’

TAGGED: Marekani
Millard Ayo December 17, 2015
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Magazeti ya Tanzania December 17 2015 na stori zake kubwa kurasa za mwanzo na mwisho
Next Article Haya ndio majibu ya Davido kuhusu ujauzito wa mrembo Agnes Masogange!
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
Top Stories June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
Top Stories June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
Top Stories June 2, 2023
Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest
Sports June 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.

June 2, 2023
Top Stories

Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano

June 2, 2023
Top Stories

Amnesty yaonya Iran dhidi ya Kunyonga kwa Kesi zinazohusiana na madawa ya kulevya

June 2, 2023
Top Stories

Elon Musk kwa mara nyingine tena ndiye mtu tajiri zaidi duniani

June 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?