Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: “Nimefurahishwa na tathmini ya ILO kuhusu uhai wa WCF naulipaji wa fidia“ Pinda
Share
Notification Show More
Latest News
Aziz Ki Mfalme mpya town, mchezo dhidi ya Simba SC ya dhihirissha ubora wake, ‘Jemedari amwagia sifa’
August 14, 2022
Baada ya kipigo Ahmed Ally atoa kauli ya faraja kwa Wana Simba ‘Tunapitia maumivu makali mno’
August 14, 2022
Picha:Makamu wa Rais Philip Mpango ashiriki Marathon CRDB Bank 2022
August 14, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 14, 2022
August 14, 2022
Maneno ya Manara kuelekea Mchezo wa Yanga na Simba leo, “Nendeni mkapiganie Jezi na jina la Club’
August 13, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > “Nimefurahishwa na tathmini ya ILO kuhusu uhai wa WCF naulipaji wa fidia“ Pinda
Top Stories

“Nimefurahishwa na tathmini ya ILO kuhusu uhai wa WCF naulipaji wa fidia“ Pinda

July 7, 2022
Share
3 Min Read
SHARE

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imefanya kazikubwa sana kuhakikisha Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi(WCF) unaweza kulipa mafao stahiki na endelevu.

Akizungumzia juu ya Mfuko huu, Waziri Mkuu Mstaafu waJamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo Pinda baadaya kutembelea banda la WCF wakati wa Maonesho ya 46 yaKimataifa ya Viwanda na Biashara Dar es Salaam (Sabasaba) amesema Serikali ya Awamu ya Nne ilianzisha Mfuko huu ilikutatua changamoto zilizokuwa zikiwakabili waajiri hususan waSekta Binafsi ambao walilazimika kupoteza muda mwingiwakati wafanyakazi wao walipopatwa madhila yaliyotokana nakazi.

Mhe. Pinda ametoa wito kwa waajiri wote nchini kuchangamkiafursa kwa kujiunga na kuwachangia wafanyakazi wao WCF ilikulinda biashara zao na wafanyakazi wao. Amesema, kuna kazikubwa ya kuelimisha waajiri na wafanyakazi nchini ili kufahamukwa ufasaha nini wanaweza kupata kutoka WCF.

Amepoungeza Mfuko huo kwa kuweka misingi imara namadhubuti iliyowezesha Shirika la Kazi Duniani ILO kuthibitisha uwezo wa Mfuko huu katika ulipaji wa fidia stahikikwa wanufaika wake kwa zaidi ya miaka 30 ijayo.

“Nimefurahishwa na tathmini ya ILO kuhusu uhai wa WCF naulipaji wa fidia ikiwemo malipo ya pensheni kwa wafanyakaziwaliopata ulemavu wa zaidi ya asilimia thelathini (30) na wenzawa wafanyakazi waliofariki kutokana na kazi. Hili ndio lengohaswa la kuanzishwa kwa Mfuko huu na Serikali inajivunia sanakuona matunda ya kuanzishwa kwake” alisisitiza, Mhe. Pinda.

Mhe. Pinda ameongeza kuwa malipo ya fidia kwa wafanyakaziyanaleta hamasa kwa waajiri wote nchini pamoja na wawekezajikwani kwa kufanya hivyo, Tanzania inakuwa kituo sahihi cha biashara na uwekezaji.

Naye Naibu Waziri Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Ridhiwani Kikwete (Mb), amewahimiza waajiri wotenchini kuchangia WCF ili wafanyakazi wao wanufaike nahuduma zinazotolewa na Mfuko endapo wataumia, kuugua amakufariki kutokana na kazi.

“Jitahidini mjiunge na WCF na muione hii kama fursa kwenu nasio mzigo kwa sababu itawapunguzia malalamiko yasiyo yamsingi endapo wafanyakazi watapata ajali, ugonjwa au kifokutokana na kazi,” amesisitiza Mhe. Kikwete.

Naye Mkurugenzi Mkuu wa WCF Dkt. John Mduma amesemaWCF itaendelea kufidia wafanyakazi waliopata ulemavukutokana na kazi pamoja na wategemezi wa wafanyakaziwaliofariki kutokana na kazi.

You Might Also Like

Picha:Makamu wa Rais Philip Mpango ashiriki Marathon CRDB Bank 2022

Mauaji Moro: Mume amnyonga Mkewe na mtoto, Kaka wa Marehemu afunguka

Basi la New Force latumbukia korongoni, Mmoja afariki, Polisi anena chanzo

Ndugu abiria kulipwa Milioni 150, Wakili aibua mapya ‘Watu binafsi waliopost meme wajiandae’

Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’

TAGGED: i, TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA July 7, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article PICHA 17:Maonesho ya Sabasaba yanoga Dar es Salaam 2022
Next Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo July 8, 2022
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Aziz Ki Mfalme mpya town, mchezo dhidi ya Simba SC ya dhihirissha ubora wake, ‘Jemedari amwagia sifa’
Sports August 14, 2022
Baada ya kipigo Ahmed Ally atoa kauli ya faraja kwa Wana Simba ‘Tunapitia maumivu makali mno’
Sports August 14, 2022
Picha:Makamu wa Rais Philip Mpango ashiriki Marathon CRDB Bank 2022
Top Stories August 14, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 14, 2022
Magazeti August 14, 2022

You Might also Like

Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 12, 2022

August 12, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 11, 2022

August 11, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 10, 2022

August 10, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 9, 2022

August 9, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?