Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Nkane nje wiki sita Yanga SC
Share
Notification Show More
Latest News
MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.
March 24, 2023
China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.
March 24, 2023
20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.
March 24, 2023
INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.
March 24, 2023
Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’
March 24, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Nkane nje wiki sita Yanga SC
Sports

Nkane nje wiki sita Yanga SC

December 28, 2022
Share
1 Min Read
SHARE

Club ya Yanga SC imetangaza kuwa mchezaji wake Denis Nkane “The Wonder Kid” amepata majeraha na sasa atakuwa nje ya uwanja kwa kipindi cha wiki 6, Taarifa hiyo imetolewa na Dr wa Yanga SC Moses kupitia Yanga SC App

“Winga wetu Deniss Nkane atakuwa nje ya uwanja kwa kipindi cha wiki sita baada ya vipimo kuonyesha amevunjika mfupa mdogo unaosababisha nyonga kujikunja, akitoa taarifa hiyo, daktari wa Yanga, Moses Etutu alisema Nkane atakuwa na vipindi viwili vya kuuguza majeraha yake hadi hapo atakaporejea rasmi uwanjani”

“Vipimo vimeonyesha alivunjika mfupa unaosababisha nyonga kukunja ndio maana alipata maumivu makali sana. Tayari tumeshaanza ratiba ya matibabu na atakuwa na vipindi viwili kabla ya kurejea moja kwa moja uwanjani, atakaa nje kwa wiki nne halafu wiki mbili za mwisho ataanza mazoezi mepesi ambayo tutakuwa tunamfuatilia tujue maendeleo yake,” DR Moses.

You Might Also Like

Mohammed Hussein afunguka haya kuhusu kutoitwa kwenye timu ya Taifa, ‘Taifa Stairs’

Simba SC waingia Mkataba na MobiAd

Simba yaandika historia Ligi ya Mabingwa Afrika

Sheria Ngowi kutengeneza jezi za Zanzibar Heroes kwa miaka mitano

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

TAGGED: Sports
Rama Mwelondo TZA December 28, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Silent Ocean watoa ahadi Tsh milioni 30 Prisons ikiifunga Simba SC
Next Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 29, 2022
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.
Top Stories March 24, 2023
China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.
Top Stories March 24, 2023
20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.
Top Stories March 24, 2023
INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.
Top Stories March 24, 2023

You Might also Like

Top Stories

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.

March 24, 2023
Top Stories

China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.

March 24, 2023
Top Stories

20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.

March 24, 2023
Top Stories

Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’

March 24, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?