Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Taarifa nyingine kuhusu ajali ya Toyota Noah Singida, hii ni kauli ya Polisi.
Share
Notification Show More
Latest News
PICHA: Matukio ya Mkutano Mkuu wa CAF uliyofanyika Tanzania
August 11, 2022
Ndugu abiria kulipwa Milioni 150, Wakili aibua mapya ‘Watu binafsi waliopost meme wajiandae’
August 11, 2022
Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’
August 11, 2022
Hafla ya makabidhiano ya data za utafutaji wa Mafuta na Gesi asilia kwa vitalu Zanzibar
August 11, 2022
Ukumbini: Bwana Harusi aonesha video ya mkewe akiwa faragha na shemeji yake chumbani
August 11, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Taarifa nyingine kuhusu ajali ya Toyota Noah Singida, hii ni kauli ya Polisi.
Mix

Taarifa nyingine kuhusu ajali ya Toyota Noah Singida, hii ni kauli ya Polisi.

January 20, 2014
Share
2 Min Read
SHARE

latestHizi ni dakika chache tuzitumie kusikiliza alichokisema Kamanda wa polisi mkoa wa Singida ACP.Geofrey Kamwela kuhusu ajali iliyotokea leo asubuhi ambayo imehusisha gari aina ya Toyota Noah na Scania lori ambayo taarifa inasemekana yaligongana uso kwa uso na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 10 na majeruhi.

singidaaKamanda anaanza kwa kusema>>’Ni asubuhi ya leo saa 2 kule Isuna katika wilaya ya Ikungi mkoani Singida, ajali imehusisha magari mawili moja aina ya Noah na nyingine ni Scania lori,yamegongana uso kwa uso na kusababisha vifo vya watu 13′

‘Inavyoonekana kuna uzembe fulani  ulitokea pale kutokana na kwamba magari haya yamegongana yakiwa upande mmoja wa barabara kuu ya kutoka Singida Dodoma baada ya kugongana ile Toyota Noah ilisukumwa mpaka nje ya barabara halafu ile lori ikaenda hadi mbele ikasimama kisha Dereva na Utingo wakakimbia’

‘Mpaka sasa hivi Dereva wa Lori hilo na Utingo wake tunawatafuta kwa ajili ya kuhojiwa kutupa taarifa zaidi,kuhusu wale waliokuwa kwenye Noah dereva pengine na kondakta na abiria ndo hao wamepoteza uhai  japo tuna mtu ambaye yeye alinusurika mmoja tu kwen ye hiyo Noah bado hatujaweza kumhoji maiti wote walichukuliwa asubuhi wakapelekwa kwenye Hospital ya Mkoa wa Singida.

Msikilize Kamanda wa Polisi mkoa wa Singida kwa kubonyeza play.

You Might Also Like

Mwana FA alivyoungana na Viongozi mbalimbali kuhamasisha Zoezi la Sensa, Masuguru Wilayani Muheza

Bwawa la Mwalimu nyerere sasa kazi ni Usiku na Mchana, ‘kukamilika June 2024’ Waziri Makamba anena

Picha:Kutoka kwenye shangwe za Simba DAY uwanja wa Mkapa Dar es Slaam

Watalii zaidi ya 30 watembelea maporomoko ya Maji Hululu

Kampuni ya PAET imewekeza Dola Milioni 70 uendelezaji gesi

Millard Ayo January 20, 2014
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Alichosema Ally Rehmtullah Kuhusu hii keki ya Birthday yake yenye umbo la sehemu ya mwili wa mwanaume
Next Article Hii ndio ajali nyingine tena ya leo iliyotokea Lindi.
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

PICHA: Matukio ya Mkutano Mkuu wa CAF uliyofanyika Tanzania
Sports August 11, 2022
Ndugu abiria kulipwa Milioni 150, Wakili aibua mapya ‘Watu binafsi waliopost meme wajiandae’
Top Stories August 11, 2022
Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’
Top Stories August 11, 2022
Hafla ya makabidhiano ya data za utafutaji wa Mafuta na Gesi asilia kwa vitalu Zanzibar
Top Stories August 11, 2022

You Might also Like

Top Stories

Ndugu abiria kulipwa Milioni 150, Wakili aibua mapya ‘Watu binafsi waliopost meme wajiandae’

August 11, 2022
Top Stories

Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’

August 11, 2022
Top Stories

Ukumbini: Bwana Harusi aonesha video ya mkewe akiwa faragha na shemeji yake chumbani

August 11, 2022
Top Stories

“Marufuku kuingia na silaha Taifa” Kamanda Muliro

August 11, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?