Noma!! Jamaa alivyowanasa wezi walivyotaka kuiba simu yake (video+)
October 1, 2021
Share
0 Min Read
SHARE
Ni Ayo TV & Millardayo.com na leo nimekutana na raia wa kigeni aliefika nchini Kenya Nairobi kisha akawaingiza mkenge wezi wa simu baada ya kuitoa simu yake nje huku gari likiwa linatembelea kiukweli kuna cha kujifunza hapa tazama.