Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Nisha kuhusu kazi maisha na mapenzi ‘sishtukagi na headlines, sijawahi kuwa na urafiki na Baraka’
Share
Notification Show More
Latest News
Muda wa kusitisha mapigano nchini Sudan warefushwa kwa siku 5
May 30, 2023
UAE kutuma chombo cha anga kugundua dalili kuhusu asili ya maisha duniani.
May 30, 2023
Uganda yapitisha sheria mpya dhidi ya wizi wa viungo vya binadamu
May 30, 2023
Mpishi wa timu ya Arsenal Bernice Kariuki astaafu
May 30, 2023
‘June 2024 kila kijiji kitakuwa na Umeme’- Waziri Makamba
May 30, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > on air with millardayo > Nisha kuhusu kazi maisha na mapenzi ‘sishtukagi na headlines, sijawahi kuwa na urafiki na Baraka’
on air with millardayo

Nisha kuhusu kazi maisha na mapenzi ‘sishtukagi na headlines, sijawahi kuwa na urafiki na Baraka’

May 2, 2016
Share
2 Min Read
SHARE

Jina la kuzaliwa ni Salma Jabu ila umaarufu anao kupitia jina la Nisha akiwa ni miongoni mwa waigizaji hodari wa kike Tanzania, amekaa kwenye Exclusive na Millard Ayo kwenye OnAIRwithMillardAyo ambako ameongea ishu zake mbalimbali za maisha, kazi na mapenzi.

Kuna ripoti ziliandikwa kwamba ulikanusha kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwimbaji Baraka Da Prince na ukasema humjui kabisa? JIBU >>> ‘Sijawahi kuandika hicho kitu na huwa simuandiki mtu kwenye page yangu, sipendi kuhusisha maisha yangu binafsi na maswala ya kazi yangu kwenye mitandao, sijawahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi, wa kirafiki au wa aina yoyote na Baraka Da Prince’

Umeshawahi kuwazia chochote kuhusu spidi ndogo ya Bongo movie kwenda nje ya mipaka ya Tanzania?

JIBU >>> ‘Mimi na timu yangu tulikaa tukalitazama hilo pia kama unakumbuka miezi miwili iliyopita kuna picha ziliruka nikiwa na mchekeshaji wa Kenya Eric Omondi, kuna kitu kikubwa kinakuja kitahusisha soko la Afrika Mashariki‘

Sasa hivi una umri wa miaka 27, una mtoto tayari?

JIBU >>> ‘Ninae mtoto wa kike ana umri wa miaka 11, nilimpata nikiwa na miaka 17…. mitihani ya kidunia inatokea kila mtu ana historia yake, nilijutia lakini unaizoea ile hali na kujifunza kupitia ulipokosea…  ni stori ya kusikitisha na nikiiongea itaniumiza nitaanza kulia lakini ni kitu kiliniathiri sana kisaikolojia’

Ukitaka kujua mengi zaidi ya Nisha unaweza kutazama hii video hapa chini…

ULIIKOSA YA WASTARA ALICHOSEMA KWANINI NDOA YAKE IMEVUNJIKA NDANI YA SIKU 80? TAZAMA HII VIDEO HAPA CHINI

Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO‘ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana na Millard Ayo kwenye Twitter, FB, Instagram na YouTUBE wa kubonyeza hapa >>> INSTAGRAM TWITTER FB YOUTUBE 

You Might Also Like

PROFILE: Mfahamu Vido Vidox, ripota wa Ayo TV kwa stori za mastaa!!

Exclusive:Bongozozo alivyokuja TZ, kuoa na kuachana na mke na kulala vyumba tofauti

VIDEO:Jacqueline Mengi afunguka siku za mwisho za Dr Mengi, kuzuiwa kaburini, mali alizoachiwa

Wasanii wamjibu Msigwa ‘Atuombe radhi, katuzalilisha”

Mwigizaji Esha Buheti apata ajali ya Gari jioni hii (+video)

TAGGED: bongo movie, On AiR with millard ayo
Millard Ayo May 2, 2016
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Wanawake muwe makini… huyu amefariki Guest House kwa kulishwa sumu, Mwanaume kakimbia
Next Article Usijidanganye hutokamatwa kwa kumtukana mtu mtandaoni hata kama unatumia jina jingine
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Muda wa kusitisha mapigano nchini Sudan warefushwa kwa siku 5
Top Stories May 30, 2023
UAE kutuma chombo cha anga kugundua dalili kuhusu asili ya maisha duniani.
Top Stories May 30, 2023
Uganda yapitisha sheria mpya dhidi ya wizi wa viungo vya binadamu
Top Stories May 30, 2023
Mpishi wa timu ya Arsenal Bernice Kariuki astaafu
Top Stories May 30, 2023

You Might also Like

Top Stories

Muda wa kusitisha mapigano nchini Sudan warefushwa kwa siku 5

May 30, 2023
Top Stories

UAE kutuma chombo cha anga kugundua dalili kuhusu asili ya maisha duniani.

May 30, 2023
Top Stories

Uganda yapitisha sheria mpya dhidi ya wizi wa viungo vya binadamu

May 30, 2023
Top Stories

‘June 2024 kila kijiji kitakuwa na Umeme’- Waziri Makamba

May 30, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?