Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Nyumba nzuri sio mamilioni… ni mipango na utundu kidogo kama hivi !!
Share
Notification Show More
Latest News
Muda wa kusitisha mapigano nchini Sudan warefushwa kwa siku 5
May 30, 2023
UAE kutuma chombo cha anga kugundua dalili kuhusu asili ya maisha duniani.
May 30, 2023
Uganda yapitisha sheria mpya dhidi ya wizi wa viungo vya binadamu
May 30, 2023
Mpishi wa timu ya Arsenal Bernice Kariuki astaafu
May 30, 2023
‘June 2024 kila kijiji kitakuwa na Umeme’- Waziri Makamba
May 30, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Nyumba/ Mijumba > Nyumba nzuri sio mamilioni… ni mipango na utundu kidogo kama hivi !!
Nyumba/ Mijumba

Nyumba nzuri sio mamilioni… ni mipango na utundu kidogo kama hivi !!

October 15, 2015
Share
3 Min Read
SHARE

n1Ni mara ngapi unatembelea nyumba ya mtu mwenye pesa zake alafu unagundua kazidisha vitu mpaka nyumba haina mvuto tena? sasa kupitia millardayo.com nitaendeleza utamaduni wa kuziweka picha za nyumba za kisasa zilizojengwa kwa gharama ndogo lakini zinavutia.

n2Ukitazama kwenye picha ya kwanza na ya pili utaona jinsi sebule ilivyo na vitu vichache lakini inavutia, picha zimewekwa kwenye ukuta mmoja tu na kamaliza kazi ya picha, kochi moja la kona na meza ndogo ya kuvutia.

n3Siku hizi vitu vingi sana vinapatikana Tanzania kwenye maduka mbalimbali…. mfano kinachoonekana hapa ni sakafu ya mbao pia ambapo Tanzania nimeiona na nyingine nyingi za aina hiyohiyo ya mbao ambazo haziitaji kudekiwa, ni kufuta na kitambaa chenye unyevunyevu, kamalizia na ukuta mzuri ulioonyooka na kupakwa rangi.

n4

n5Hapa ni jikoni na mpaka panakuvutia kupatazama kila time, vitu ni vichache na rangi iliyopakwa inaendana na eneo lenyewe…

n6

n7

n8

n9

n10Kwa wale Mabachela au wenye familia zao bado sebule kama hii ni nzuri kwao… ukuta umetengenezwa vizuri kwa matofali ya kuchoma alafu yakapakwa rangi nyeupe, mpangilio wa taa pia ambazo zinapatikana Tanzania ukamalizia uumbaji wa hii sebule nzuri.

n11Kwenye jiji kama la Dar es salaam, Mwanza au Arusha watu ni wengi town na unaweza kuwa na eneo dogo tu la nyumba lakini ukalitumia vizuri kwa kupangilia ndani, mwishowe ndio inakua kama hivyo sebule na dining ndogo tu.

n12Wakati mwingine kuifanya nyumba ivutie zaidi unaweza kuepuka kuweka wallpaper zenye michoro au vitu vingi, huu ukuta mweusi kwenye picha za juu na hii hapa chini unadhihirisha hilo… simple lakini poa sana.

n13Ubunifu wa kutengeneza kitanda kama hicho kwa mbao hata bongo kuna mafundi wazuri tena sana wa kufanya hivi, hizo taa madukani zimejaa na unaweza kuzipata kwa kati ya elfu 70 mpaka laki moja.

n14Kwa leo ni hayo tu nilikua nayo mtu wangu… kama una chochote nitafurahi ukiniachia kwenye comment hapa chini…

n15

Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO‘ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana na Millard Ayo kwenye Twitter, FB, Instagram na YouTUBE wa kubonyeza hapa >>> INSTAGRAM TWITTER FB YOUTUBE

You Might Also Like

Picha: GSM Home Pugu, nyerere Road, bidhaa zao sio mchezo, inogesha nyumba yako

PICHA: Jerry Muro akabidhi madarasa 29 kwa RC Singida

PICHA 10:Unahitaji Nyumba au kupanga Mikocheni, Palm Village wana habari njema

Video:“Wekeni Password kwenye simu zenu, lazima”- TCRA

Picha ya mwisho ya KIBONDE imeacha maswali mengi, alimaanisha nini?

TAGGED: nyumba, Stori Pekee
Millard Ayo October 15, 2015
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Jokate studio kwa Millard Ayo… maswali aliyoyajibu na kuhusu Miss Tanzania!
Next Article Kilichonaswa kwenye video Roberto wa ‘Amarulah’ akiwa Mwanza
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Muda wa kusitisha mapigano nchini Sudan warefushwa kwa siku 5
Top Stories May 30, 2023
UAE kutuma chombo cha anga kugundua dalili kuhusu asili ya maisha duniani.
Top Stories May 30, 2023
Uganda yapitisha sheria mpya dhidi ya wizi wa viungo vya binadamu
Top Stories May 30, 2023
Mpishi wa timu ya Arsenal Bernice Kariuki astaafu
Top Stories May 30, 2023

You Might also Like

Top Stories

Muda wa kusitisha mapigano nchini Sudan warefushwa kwa siku 5

May 30, 2023
Top Stories

UAE kutuma chombo cha anga kugundua dalili kuhusu asili ya maisha duniani.

May 30, 2023
Top Stories

Uganda yapitisha sheria mpya dhidi ya wizi wa viungo vya binadamu

May 30, 2023
Top Stories

‘June 2024 kila kijiji kitakuwa na Umeme’- Waziri Makamba

May 30, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?