
Waziri wa Maliasili na Utalii Tanzania nae kaingia kwenye headlines za wale waliosogea hatua moja mbele, jana June 6 2015 kasogea Singida.. lengo ilikuwa kuongea na Watanzania rasmi kwamba ameianza safari kuelekea Ikulu.
Ninazo picha za jinsi alivyopokelewa Singida, akaongea na watu wake.



Unahitaji chochote ninachokipata kisikupite? jiunge na mimi kwenye Twitter, Facebook na Instagram kwa kubonyeza hapa >>> Twitter Insta FB na nitakua nikikutumia kila ninachokipata pia usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos ili kila video ya AyoTV ikufikie.