Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Nyongeza ya Mishahara kwa watumishi, walimu wasema wamemuelewa Mama (video+)
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 1, 2023
June 1, 2023
Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)
May 31, 2023
Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo
May 31, 2023
Isaac anayedaiwa kumng’oa Jino mke wake afikishwa Mahakamani, anyimwa Dhamana
May 31, 2023
Katibu wa CCM Daniel Chongolo atoa siku 10 kwa Waziri wa Maji kukamilisha mradi wa maji katika Wilaya ya Kilolo
May 31, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Nyongeza ya Mishahara kwa watumishi, walimu wasema wamemuelewa Mama (video+)
Top Stories

Nyongeza ya Mishahara kwa watumishi, walimu wasema wamemuelewa Mama (video+)

May 15, 2022
Share
1 Min Read
SHARE
Katibu Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Deus Seif amesema Walimu waliielewa vizuri kauli ya Rais Samia Suluhu aliyoitoa kwenye Maadhimisho ya Mei Mosi kuhusu ahadi ya nyongeza ya mishahara ambapo wamemshukuru kwa kuitimiza ahadi hiyo na kuridhia nyongeza ya 23.3% ya mishahara kwa Watumishi.

“Baada ya kauli yako ya Mei Mosi, Mh. Rais, Walimu tulikuelewa na tukasema tupo pamoja nawe, tunachapa kazi, kama uliweza kuwapandisha madaraja (vyeo) katika katika kipindi cha mwaka 2021/2022 pekee 92.9% ya Walimu wote ambao ni takribani 260,000, hata hili la kuongeza mishahara tulijua tu litafanikiwa”
“Kama umetoa ajira kwa awamu nne, ya kwanza Walimu 13,000, ya pili 7000, ya tatu 6000 na ya nne ni hii ya juzi 12,000 ambayo ni sawa na 15% ya Walimu waliopo na kupandisha Madaraja (Vyeo) Mwaka jana Walimu 127,000 na mwaka huu zajdi ya 60,000, watakaonufaika na Daraja la Mserereko ni Walimu 52,0000 ambapo jumla ya walionufaika ma Madaraja ni sawa na 92.9%, hata hili la mishahara tulijua litakamilika tu”

 

BREAKING: RAIS SAMIA AKUBALI MAPENDEKEZO YALIYOWASILISHWA NA WAZIRI MKUU IKULU “NYONGEZA MISHAHARA”

 

 

You Might Also Like

Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)

Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo

Isaac anayedaiwa kumng’oa Jino mke wake afikishwa Mahakamani, anyimwa Dhamana

Katibu wa CCM Daniel Chongolo atoa siku 10 kwa Waziri wa Maji kukamilisha mradi wa maji katika Wilaya ya Kilolo

Rais Mwinyi azindua kamati ya maridhiano

TAGGED: Dar es salaam, Rais Samia
Edwin TZA May 15, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 15, 2022
Next Article Shabiki amlilia Diamond nchini Ivory Coast ‘alisafiri kutoka umbali wa masaa sita kuja kumuona’
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 1, 2023
Magazeti June 1, 2023
Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)
Top Stories May 31, 2023
Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo
Top Stories May 31, 2023
Isaac anayedaiwa kumng’oa Jino mke wake afikishwa Mahakamani, anyimwa Dhamana
Top Stories May 31, 2023

You Might also Like

Top Stories

Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)

May 31, 2023
Top Stories

Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo

May 31, 2023
Top Stories

Katibu wa CCM Daniel Chongolo atoa siku 10 kwa Waziri wa Maji kukamilisha mradi wa maji katika Wilaya ya Kilolo

May 31, 2023
Top Stories

Rais Mwinyi azindua kamati ya maridhiano

May 31, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?