Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani Arusha Jonathan Shana amesema Polisi mkoani hapo inawashikilia watuhumiwa wawili kwa tuhuma za kutumia jina la Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Profesa Florence Luoga, kupitia mtandao wa kijamii wa Facebook kuwatapeli watu na kujipatia fedha.
Nyumba iliyojengwa na tapeli kwa kutumia jina la Gavana wa Benki Kuu, RPC aanika aliyobaini (+video)
Leave a comment
Leave a comment