Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: ‘Ondoeni dhana ya rushwa Mahakamani’
Share
Notification Show More
Latest News
MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.
March 24, 2023
China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.
March 24, 2023
20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.
March 24, 2023
INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.
March 24, 2023
Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’
March 24, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > ‘Ondoeni dhana ya rushwa Mahakamani’
Top Stories

‘Ondoeni dhana ya rushwa Mahakamani’

February 1, 2023
Share
1 Min Read
SHARE

Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mustapher Siyani, amewataka watumishi wa mahakama kutoa haki ili kuwajengea imani wananchi, hivyo kuondoa dhana iliyojengeka kwamba hakuna huduma inatolewa mahakamani bila kutoa rushwa.

Akizungumza jana wakati wa uzinduzi wa majengo ya Mahakama za Wilaya ya Manyoni, Jaji Kiongozi alisema watumishi wa mahakama wanatakiwa kuwa mabalozi wazuri wa haki kwa kutoa huduma bora kwa wananchi.

“Watumishi wa mahakama tunao uwezo wa kubadili fikra hizo kutoka kwenye kutokuaminiwa kwenda kwenye kuaminiwa kwa kufanya kazi kwa bidii na kwa haki lakini bila kufanya hivyo tutazidi kunyooshewa vidole kuwa hatutendi haki,”  Siyani

Jaji Siyani alisema watumishi wa mahakama wanatakiwa kujivunia na kujisifu kwa kutoa huduma bora kila mmoja kwa nafasi yake na sio kujisifu kwa vitu vingine kama majengo mazuri na mengineyo.

You Might Also Like

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.

China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.

20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.

INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.

Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA February 1, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Wanafunzi Sekondari 7,457, Msingi 1,554 wapata ujauzito
Next Article Serikali yaweka wazi kutotangaza shule bora
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.
Top Stories March 24, 2023
China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.
Top Stories March 24, 2023
20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.
Top Stories March 24, 2023
INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.
Top Stories March 24, 2023

You Might also Like

Top Stories

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.

March 24, 2023
Top Stories

China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.

March 24, 2023
Top Stories

20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.

March 24, 2023
Top Stories

Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’

March 24, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?