Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Pap Francis awaza kung’atuka
Share
Notification Show More
Latest News
Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”
January 27, 2023
Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa
January 27, 2023
Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa
January 27, 2023
Mkali Lord Eyez ametuletea hii collabo yake akiwa na Adiana Ross
January 27, 2023
Picha: Mwili wa Mtanzania aliefia kwenye vitani urusi, waagwa kwa picha nyumbani kwao
January 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Pap Francis awaza kung’atuka
Top Stories

Pap Francis awaza kung’atuka

July 31, 2022
Share
1 Min Read
SHARE

Papa Francis amesema wakati unaweza fika ambapo atahitaji kuachia ngazi – na atafanya hivyo ikiwa atahisi afya yake ina maana kwamba haiwezi kutumika kama inavyopaswa.

Akihitimisha ziara yake nchini Canada alipo kwenda kuomba msamaha kwa jamii ya watu wenye asili ya taifa hilo, kiongozi huyo wa Kanisa ambaye ana umri wa miaka 85 alisisitiza kwamba kwa sasa ana nia ya kuendelea na majukumu yake – na ataongozwa na Mungu kuhusu lini atang’atuka.

“Sio janga kumbadilisha Papa, na sio mwiko,” aliwaambia waandishi wa habari akiwa kwenye kitimwendo akitoka Arctic Canada akirejea Roma.

“Mlango [wa kustaafu] uko wazi – ni chaguo la kawaida. Lakini mpaka leo sijagonga mlango huo. Sijaona hitaji la kufikiria juu ya uwezekano huu – hiyo haimaanishi kwamba katika muda wa siku mbili huenda nisianze kufikiria juu yake.”

Katika miezi ya hivi karibuni Papa Francis amepata matatizo ya goti ambayo yameathiri uhamaji wake. Alitumia muda mwingi wa ziara yake nchini Canada akiwa kwenye kiti cha magurudumu.

Lakini hapo awali alitupilia mbali uvumi kuhusu magonjwa hatari zaidi, yanayotishia maisha.

You Might Also Like

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”

Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa

Picha: Mwili wa Mtanzania aliefia kwenye vitani urusi, waagwa kwa picha nyumbani kwao

Magaya, Gwajima, Waziri Mkenda wasaka dawa dhidi ya Ukatili

Alichokifanya Rais Samia kwenye siku yake ya kuzaliwa, Ulega afunguka “Ametoa kwa Yatima”

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA July 31, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Rais mpya wa Sri Lanka awaita Wabunge
Next Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 1, 2022
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”
Top Stories January 27, 2023
Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa
Top Stories January 27, 2023
Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa
Entertainment January 27, 2023
Mkali Lord Eyez ametuletea hii collabo yake akiwa na Adiana Ross
Entertainment January 27, 2023

You Might also Like

Entertainment

Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa

January 27, 2023
Entertainment

Warembo wanaounda kundi la Tango Supreme kutumbuiza Dar, 27th Jan Elements Masaki

January 27, 2023
Entertainment

Mabibi na Mabwana Nuh Mziwanda ametuletea hii single mpya ‘Nikizipata’

January 26, 2023
Entertainment

PROFILE: Mfahamu Vido Vidox, ripota wa Ayo TV kwa stori za mastaa!!

January 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?