Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Papa Francis kurejea kazini baada ya kuugua homa
Share
Notification Show More
Latest News
The Snipers Mabingwa wa Pool Table Mashindano ya robo mwaka
December 10, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo December 10, 2023
December 10, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 10, 2023
December 10, 2023
Breaking:Mvua kubwa yaitikisa Kilosa Usiku huu, Magari yasombwa, watu walia kuomba msaada
December 10, 2023
RC Chalamila apongeza Polisi na Barrick kwa kuadhimisha siku 16 za kupinga ukatili
December 10, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Papa Francis kurejea kazini baada ya kuugua homa
Top Stories

Papa Francis kurejea kazini baada ya kuugua homa

May 27, 2023
Share
1 Min Read
SHARE

Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani Papa Francis amerejea kazini baada kupumzika kwa siku moja kutokana na changamoto za homa, imethibitisha ofisi ya Vatican.

Siku ya Ijumaa msemaji wa Vatican Matteo Bruni alisema kuwa raia huyo wa Argentina hangeweza kukutana na watu kama alivyokuwa amepangiwa “kutokana na hali ya homa”.

Haikuwa wazi ni nani papa huyo alitarajiwa kukutana naye, kwani ajenda yake ya siku haikuwekwa wazi.

Katibu wa mambo ya nje wa Vatican Pietro Parolin alisema kiongozi huyo mwenye umri mkubwa huenda amechoka kutokana na mipango mingi kwenye  ratiba yake.

Papa Francis alikuwa na mikutano minane Alhamisi, kulingana na ratiba yake iliyochapishwa. Siku ya Jumatatu, amepangwa kukutana na rais wa Italia Sergio Mattarella.

Katibu wa mambo ya nje wa Vatican Pietro Parolin alisema kiongozi huyo mwenye umri mkubwa huenda amechoka kutokana na mipango mingi kwenye  ratiba yake.

Papa Francis alikuwa na mikutano minane Alhamisi, kulingana na ratiba yake iliyochapishwa. Siku ya Jumatatu, amepangwa kukutana na rais wa Italia Sergio Mattarella.

Papa  mwenye umri wa miaka 86, alilazwa hosipitalini kutokana na matatizo ya kupumua miezi miwili iliyopita, amepangiwa mambo mengi kwenye ratiba yake ya kikazi.

You Might Also Like

Breaking:Mvua kubwa yaitikisa Kilosa Usiku huu, Magari yasombwa, watu walia kuomba msaada

Habari kubwa Magazetini Kenya leo December 9, 2023

Kivumbi!! Misso Misondo alivyowaleta Jukwaani Dancers wake, Noma wapewa shangwe

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 9, 2023

Waziri wa nchi Ofisi ya Rais atoa maagizo haya kwa Vyama vya siasa

TAGGED: TZA HABARI
Geena TZA May 27, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Habari kubwa Magazetini Kenya leo May 27, 2023
Next Article Sudan yataka kuondolewa kwa mwakilishi wa UN
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

The Snipers Mabingwa wa Pool Table Mashindano ya robo mwaka
Sports December 10, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo December 10, 2023
Magazeti December 10, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 10, 2023
Magazeti December 10, 2023
Breaking:Mvua kubwa yaitikisa Kilosa Usiku huu, Magari yasombwa, watu walia kuomba msaada
Top Stories December 10, 2023

You Might also Like

Top Stories

Habari kubwa Magazetini Kenya leo December 9, 2023

December 9, 2023
Top Stories

Kivumbi!! Misso Misondo alivyowaleta Jukwaani Dancers wake, Noma wapewa shangwe

December 9, 2023
Top Stories

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 9, 2023

December 9, 2023
Top Stories

Waziri wa nchi Ofisi ya Rais atoa maagizo haya kwa Vyama vya siasa

December 8, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?