Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Stori kubwa kwenye uchambuzi wa Magazeti April 22 2016…#PowerBreakfast (+Audio)
Share
Notification Show More
Latest News
Utacheka: Mwijaku apanda gari la Diamond ‘Rolls Royce’, Zuchu aangua kicheko, Baba Levo atia neno
August 19, 2022
Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
August 19, 2022
Kiwanda cha Chai Mponde Ujenzi wake umefikia 95%
August 18, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Magazeti > Stori kubwa kwenye uchambuzi wa Magazeti April 22 2016…#PowerBreakfast (+Audio)
Magazeti

Stori kubwa kwenye uchambuzi wa Magazeti April 22 2016…#PowerBreakfast (+Audio)

April 22, 2016
Share
2 Min Read
SHARE

April 22 2016 millardayo.com imekurekodia uchambuzi wa magazeti kutoka Power Breakfast ya Clouds FM, ni uchambuzi wa Habari zote kubwa kupitia magazeti yaliyoandikwa leo Tanzania, Hizi ni baadhi ya Habari kubwa zilizoandikwa leo.

Magufuli wanaotetea majipu tutawatumbua, Wakati baadhi ya taasisi za haki za binadamu, wasomi na wanasisasa wakikosoa mfumo wa Rais John Magufuli, wa kuwawajibisha watenadaji wa umma kiongozi huyo wa nchi amesema wanaotetea watendaji wanaowajibishwa, nao ni majipu na ataanza kuwafuatilia

UKAWA yazidi kuitikisa CCM, Diwani wa kata ya Kiwalani kwa tiketi ya CUF, Musa Kafana ameibuka mshindi katika uchaguzi wa Naibu Meya wa Jiji la Dar es salaam akimshinda mpinzani wake Diwani wa kata ya Mchafukoge Mariam Lurinda kwa tiketi ya CCM

ACT yasaka Katibu Mkuu mwingine, Mwenyekiti wa Chama cha ACT  Wazalendo Anna Mghwira ameiagiza kamati ya mafunzo na uchaguzi kuanza mchakato wa kumpata Katibu Mkuu wa Chama hicho baada ya kujiuzulu kwa Samson Mwigamba.

Unaweza ukasikiliza sauti hapa chini…

Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO‘ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana na Millard Ayo kwenye Twitter, FB, Instagram na YouTUBE wa kubonyeza hapa >>> INSTAGRAM TWITTER FB YOUTUBE

You Might Also Like

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 18, 2022

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 16, 2022

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 15, 2022

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 14, 2022

TAGGED: Magazeti PB
Millard Ayo April 22, 2016
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Ukiniuliza movie gani kali ya kutazama leo Cinema Dar es salaam….(+TRAILER)
Next Article Siwema, mama mtoto wa Nay wa Mitego kafungwa jela miaka miwili, Nay kaeleza anachokijua (+Video)
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Utacheka: Mwijaku apanda gari la Diamond ‘Rolls Royce’, Zuchu aangua kicheko, Baba Levo atia neno
Entertainment August 19, 2022
Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
Entertainment August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
Top Stories August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
Magazeti August 19, 2022

You Might also Like

Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 18, 2022

August 18, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 16, 2022

August 16, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 15, 2022

August 15, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 14, 2022

August 14, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?