Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Stori kubwa kwenye uchambuzi wa Magazeti March 4 2016…#PowerBreakfast (+Audio)
Share
Notification Show More
Latest News
Ndugu abiria kulipwa Milioni 150, Wakili aibua mpya ‘Watu binafsi waliopost meme wajiandae’
August 11, 2022
Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’
August 11, 2022
Hafla ya makabidhiano ya data za utafutaji wa Mafuta na Gesi asilia kwa vitalu Zanzibar
August 11, 2022
Ukumbini: Bwana Harusi aonesha video ya mkewe akiwa faragha na shemeji yake chumbani
August 11, 2022
“Marufuku kuingia na silaha Taifa” Kamanda Muliro
August 11, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Magazeti > Stori kubwa kwenye uchambuzi wa Magazeti March 4 2016…#PowerBreakfast (+Audio)
Magazeti

Stori kubwa kwenye uchambuzi wa Magazeti March 4 2016…#PowerBreakfast (+Audio)

March 4, 2016
Share
1 Min Read
SHARE

Uchambuzi wa magazeti March 4 2016 kwenye Power Breakfast ya Clouds FM habari kubwa leo ni pamoja na hizi Dar yapata hasara ya bilioni 4/ kwa siku, msongamano katika barabara za Jiji la Dar unadaiwa kusababisha hasara ya sh. bilioni nne kwa siku na sasa  mkakati mpya ni kuzuia magari yenye uzito wa zaidi ya tani 10 kuingia mjini.

Muuguzi asababisha vifo vya mapacha, Jeshi la Polisi Jijini Manza jana lililazimika kutumia mabomu ya machozi na risasai za moto  kutuliza fujo kati ya wagonjwa na muuguzi katika Hospitali ya Wilaya ya Nyamagana

Serikali kuacha kupeleka wagonjwa nje ya Nchi kutibiwa, Dar es salaam Serikali imesema ina mpango wa kusitisha kupeleka wagonjwa nje ya nchi kupatiwa matibabu na kuhakikisha kila kitengo katika Hospitali ya  Taifa Muhimbili (MNH) kinakuwa na chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalamu (ICU)

Unaweza ukasikiliza sauti hapa chini… 

Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO‘ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana na Millard Ayo kwenye Twitter, FB, Instagram na YouTUBE wa kubonyeza hapa >>>INSTAGRAM TWITTER FB YOUTUBE

You Might Also Like

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 11, 2022

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 10, 2022

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 9, 2022

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 8, 2022

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 7, 2022

TAGGED: Magazeti PB
Millard Ayo March 4, 2016
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo March 4 2016 kwenye Udaku, hardnews na michezo
Next Article Chege anawazungumziaje mastaa wa bongo wanaotengeneza kiki? kaongea maneno 42
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Ndugu abiria kulipwa Milioni 150, Wakili aibua mpya ‘Watu binafsi waliopost meme wajiandae’
Top Stories August 11, 2022
Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’
Top Stories August 11, 2022
Hafla ya makabidhiano ya data za utafutaji wa Mafuta na Gesi asilia kwa vitalu Zanzibar
Top Stories August 11, 2022
Ukumbini: Bwana Harusi aonesha video ya mkewe akiwa faragha na shemeji yake chumbani
Top Stories August 11, 2022

You Might also Like

Top Stories

Ndugu abiria kulipwa Milioni 150, Wakili aibua mpya ‘Watu binafsi waliopost meme wajiandae’

August 11, 2022
Top Stories

Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’

August 11, 2022
Top Stories

Hafla ya makabidhiano ya data za utafutaji wa Mafuta na Gesi asilia kwa vitalu Zanzibar

August 11, 2022
Top Stories

“Marufuku kuingia na silaha Taifa” Kamanda Muliro

August 11, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?