Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Picha ya Aika wa Navy Kenzo iliyotembea kwa spidi mitandaoni
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 30, 2023
May 30, 2023
Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’
May 29, 2023
Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)
May 29, 2023
Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi
May 29, 2023
Marekani yabatilisha visa ya spika wa bunge la Uganda baada ya saini Mswada mkali wa ushoga kuwa sheria
May 29, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Picha ya Aika wa Navy Kenzo iliyotembea kwa spidi mitandaoni
Mix

Picha ya Aika wa Navy Kenzo iliyotembea kwa spidi mitandaoni

January 20, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Jioni ya January 19 2017 mwimbaji Aika wa kundi linalofanya muziki wa bongofleva Navy Kenzo ilianza kusambaa kwa nguvu kwa wanaofatilia habari za bongofleva na ni kutokana na picha hiyo kuhusisha Wasanii wengine wawili ambao waliwahi kutajwa kuwa na ugomvi.

Kundi la Pah One lilishaanza kupiga hatua kwenye bongofleva time hiyo likiundwa na Nahreel, Aika, Igwe na Ola, na wakatamba na single ya ‘Gheto’ lakini kwa bahati mbaya mwaka 2012 kundi likasambaratika.

Baada ya kusambaratika kwa kundi hili ndipo Aika na Nahreel waliamua kutengeneza kundi lao jipya la ‘Navy kenzo‘ huku Pah One wakibaki Ola na Igwe na baadae zilitoka stori kuwa Navykenzo na Pah One wana ugomvi ambapo kupitia Wikiend Chat Show ya CloudsTV pande hizi mbili zilikutanishwa na kumaliza tofauti zao.

Sasa kilichofanya Aika aziteke headlines za Internet ni kupost picha yake na Nahreel wakiwa pamoja na Pah One wote wakionekana kuwa na amani ndani ya studio za The Industry inayomilikiwa na Nahreel.

Taarifa zinasema inawezekana Navykenzo wakabeba jukumu la kuwasimamia Pah One kwenye label ya The Industry ambayo inawasimamia Wasanii wengine kama Rosaree, hii hapa chini ni moja nyimbo zao kabla kundi halijasambaratika.

You Might Also Like

Wabunge wafurahishwa na utekelezwaji wa mradi wa bomba la mafuta ghafi EACOP

Profesa Mkenda kufungua maonesho ya Nane ya Tafiti na Ubunifu UDSM

Miaka 5 ya ITM, Serikali imeahidi kuadhimisha sekta ya rasilimali watu

Meneja Chambuso afunguka kubwagana na Aslay

Yanga, UNICEF na Serikali zaungana kutoa elimu Ugonjwa wa Kipindupindu

TAGGED: bongoflevanews
Admin January 20, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VIDEO: Jionee ulipofikia ujenzi wa jengo jipya la kisasa la abiria Airport Dar ( Terminal 3)
Next Article Magazeti ya Tanzania January 20, 2017 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 30, 2023
Magazeti May 30, 2023
Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’
Top Stories May 29, 2023
Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)
Top Stories May 29, 2023
Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi
Top Stories May 29, 2023

You Might also Like

Top Stories

Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’

May 29, 2023
Top Stories

Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)

May 29, 2023

Marekani yabatilisha visa ya spika wa bunge la Uganda baada ya saini Mswada mkali wa ushoga kuwa sheria

May 29, 2023
Top Stories

Waziri wa mambo ya nje wa Urusi Sergey Lavrov azuru Kenya

May 29, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?