Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Picha 10:Viongozi mbalimbali waliofika Karimjee kumuaga Kwandikwa
Share
Notification Show More
Latest News
Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”
January 27, 2023
Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa
January 27, 2023
Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa
January 27, 2023
Mkali Lord Eyez ametuletea hii collabo yake akiwa na Adiana Ross
January 27, 2023
Picha: Mwili wa Mtanzania aliefia kwenye vitani urusi, waagwa kwa picha nyumbani kwao
January 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Picha 10:Viongozi mbalimbali waliofika Karimjee kumuaga Kwandikwa
Top Stories

Picha 10:Viongozi mbalimbali waliofika Karimjee kumuaga Kwandikwa

August 6, 2021
Share
2 Min Read
.
SHARE

Ni Agosti 6, 2021 ambapo Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Marehemu Elias John Kwandikwa umeagwa rasmi leo Dar es Salaam, sasa hapa millardayo.com imekusogezea picha 10 za Viongozi walioshiriki shughuli hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Karimjee Dar es Salaam.

.
.
.
.
.
.Pichani:Aliesimama ni Makamu wa Rais Dkt.Philip Isdor Mpango miongoni mwa Viongozi walioshiriki shughuli ya kumuaga aliekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Elias Kwandikwa iliyofanyika Karimjee DSM
.Picha:Viongozi mbalimbal wakiwa katika meza kuu kwenye shughuli ya kuuwaga Mwili wa aliekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Elias John Kwandikwa.
.Pichani (Kushoto) Mke wa Rais wa Zanzibar Dr Hussein Mwinyi akiwa na Mama Salim Kikwete katika shughuli za kuuwaga Mwili wa aliekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la  Kujenga Taifa Elias John Kwandikwa iliyofanyika katika viwanja vya Karimjee DSM
.Pichani (Kushoto) Mbunge Mussa Azzan Zungu akiwa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka (mwenye shati la kijana) katika shughuli ya kuuwaga Mwili wa aliekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Elias John Kwandikwa.
.Mbunge Mussa Azzan Zungu ni miongoni mwa viongozi waliosimama kuzungumza machache yale yaliyofanywa na aliekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Elias John Kwandikwa

ZUNGU AFUNGUKA “TULIMUAMBIA HAPANA KWANDIKWA, PITA HIVI MPAKA YAMFIKIE RAIS”

HUZUNI: TAZAMA MWILI WA WAZIRI WA ULINZI UKIWASILI KARIMJEE KWA AJILI YA MISA NA KUAGA

 

 

 

You Might Also Like

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”

Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa

Picha: Mwili wa Mtanzania aliefia kwenye vitani urusi, waagwa kwa picha nyumbani kwao

Magaya, Gwajima, Waziri Mkenda wasaka dawa dhidi ya Ukatili

Alichokifanya Rais Samia kwenye siku yake ya kuzaliwa, Ulega afunguka “Ametoa kwa Yatima”

Edwin TZA August 6, 2021
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Kesi ya Ugaidi:Mbowe asomewa upya mashtaka, wakili afunguka (Video+)
Next Article Tazama Zitto Kabwe na Shaka wa CCM msibani kwa Elias Kwandikwa (Video+)
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”
Top Stories January 27, 2023
Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa
Top Stories January 27, 2023
Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa
Entertainment January 27, 2023
Mkali Lord Eyez ametuletea hii collabo yake akiwa na Adiana Ross
Entertainment January 27, 2023

You Might also Like

Entertainment

Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa

January 27, 2023
Entertainment

Warembo wanaounda kundi la Tango Supreme kutumbuiza Dar, 27th Jan Elements Masaki

January 27, 2023
Entertainment

Mabibi na Mabwana Nuh Mziwanda ametuletea hii single mpya ‘Nikizipata’

January 26, 2023
Entertainment

PROFILE: Mfahamu Vido Vidox, ripota wa Ayo TV kwa stori za mastaa!!

January 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?