Kutokea Kata ya Kunduchi, Mtongani Manispaa ya Kinondoni Dar es Salaam, hizi ni picha za baadhi ya majeruhi kati ya 19 walioshambuliwa na kikundi cha Uhalifu maarufu kama “Panya Road” usiku wa kuamia Mei, 2022.
Picha 12: Majeruhi kati ya 19 walioshambuliwa na kikundi cha Uhalifu ‘Panya Road’
Leave a comment
Leave a comment