Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Picha 13:Mastaa na watu mbalimbali wajitokeza kumzika Malcom Kisutu DSM
Share
Notification Show More
Latest News
Breaking: William Ruto atangazwa kuwa Rais Kenya, Shangwe na furaha zaibuka mitaani Nairobi
August 15, 2022
Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’
August 15, 2022
Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu
August 15, 2022
Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’
August 15, 2022
Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania
August 15, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Picha 13:Mastaa na watu mbalimbali wajitokeza kumzika Malcom Kisutu DSM
Top Stories

Picha 13:Mastaa na watu mbalimbali wajitokeza kumzika Malcom Kisutu DSM

July 29, 2021
Share
2 Min Read
.
SHARE

Kutoka Makaburi ya Kisuti DSM shughuli ya maziko wa mwili wa mtoto wa mtangazaji wa Clouds FM, Masoud Kipanya, Malcom Ally umezikwa katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam.

Katika mazishi haya yamehudhuriwa na watu mbali mbali wakiwemo CEO wa GSM Ghalibu, Mwigizaji Steve Nyerere, Msanii Ommy Dimpoz, Mtangazaji Millard Ayo, wafanyakazi wa Clouds Media Group na wengine.

Millardayo.com imekusogezea picha mbalimbali kutoka kwenye mazishi hayo unaweza ukatazama hapa

.
.
.
.
.
.
.
.
.
.Pichani ni Mtangazji Masoud Kipanya akiwa na nyuso ya huzuni baada ya kuondokewa na mwanae Malcom aliezikwa July 29, 2021 katika Makaburi ya Kisutu DSM
.PichaNi: (Kushoto) Mtangazaji Millardayo mwenye barakoa nyeusi akiwa na CEO wa GSM Ghalib mwenye kanzu na kulia mbele yao ni Mwigizaji Steve Nyerere  hii ni leo katika makaburi ya Kisutu DSM
.Pichani (Kushoto) Mchambuzi wa Soka, Edo Kumwembe akiwa na msanii wa Bongo  Flev, Ommy Dimpoz leo kwenye mazishi ya Mtoto wa Masoud Kipanya ‘Malcom’ makaburi ya Kisutu DSM
.Pichani:(Kushoto) Msanii wa Bongo Fleva Ommy Dimpoz akizungumza na mtangazaji wa Radio Clouds FM, Millard Ayo kwenye mazishi ya Malcom Kisutu Dar es Salaam

TAZAMA MWILI WA MALCOM ULIVYOINGIZWA KABURINI, HUZUNI ZATAWALA

 

MASOUD KIPANYA ASHINDWA JIZUIA AMWAGA MACHOZI AKISIMULIA KWA UCHUNGU MAGUMU YA MALCOM

You Might Also Like

Breaking: William Ruto atangazwa kuwa Rais Kenya, Shangwe na furaha zaibuka mitaani Nairobi

Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’

Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu

Azikwa akiwa hai huko Madaba, DC afika eneo la tukio, ‘Jambo hili ni la kinyama’

Rais Samia atoa Bilioni 15 jimboni kwa Shigongo

TAGGED: Malcom, Masoud Kipanya
Edwin TZA July 29, 2021
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Maneno ya Mwisho ya Malcom kwa mama yake “Mama nakufa tafuta mtoto”(video+)
Next Article Picha:CAS yamaliza kusikiliza kesi ya rufaa Yanga SC dhidi ya Morrison
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Breaking: William Ruto atangazwa kuwa Rais Kenya, Shangwe na furaha zaibuka mitaani Nairobi
Top Stories August 15, 2022
Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’
Top Stories August 15, 2022
Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu
Top Stories August 15, 2022
Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’
Sports August 15, 2022

You Might also Like

Sports

Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania

August 15, 2022
Sports

Inter Milan wawapa Yanga cha kusema, Shaffi Dauda atia neno, Manara apigilia msumari

August 15, 2022
Sports

Barbara awatuliza mashabiki wa Simba, wataka Mzungu aachwe wana mashabiki na mbinu za Kocha

August 15, 2022
Sports

Aziz Ki Mfalme mpya town, mchezo dhidi ya Simba SC ya dhihirissha ubora wake, ‘Jemedari amwagia sifa’

August 14, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?