Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: PICHA 14:Rais Magufuli, Mwinyi, Kikwete na waongoza mazishi ya Hayati Benjamini Mkapa Mtwara
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
June 2, 2023
Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest
June 2, 2023
Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano
June 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > PICHA 14:Rais Magufuli, Mwinyi, Kikwete na waongoza mazishi ya Hayati Benjamini Mkapa Mtwara
Top Stories

PICHA 14:Rais Magufuli, Mwinyi, Kikwete na waongoza mazishi ya Hayati Benjamini Mkapa Mtwara

July 30, 2020
Share
2 Min Read
.
SHARE

NI July 29, 2020 ambapo yamefanyika mazishi ya Rais mstaafu Mheshimiwa, Benjamini William Mkapa nyumbani kwao Lupaso mkoani Mtwara.

Mazishi ya Mhe. Benjamini William Mkapa yamefanyika kwa taratibu za kidini na heshima zote za kijeshi ambapo ibada ya  Mazishi imeongozwa na Rais wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC) Mhashamu Askofu Mkuu Gervas Nyaisonga ( Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la mazishi la Mbeya) na Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ)  limefanyika gwaride la mazishi likiambatana na kupiga mizinga 21 kwa heshima ya Rais Mstaafu na Amri Jeshi Mkuu wa Awamu ya Tatu.

Viongozi mbalimbali wamehudhuria mazishi hayo wakiwemo, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt John Bombe Magufuli,  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan, Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein, Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa pamoja na viongozi mbalimbali.

Sasa hapa nimekuwekea picha 14 ujionee mazishi yalivyofanyika ya Hayati Benjamini William Mkapa huko kwao Lupaso mkoani Mtwara.

.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

MWANZO MWISHO MIZINGA 21 YA KIJESHI IMEPIGWA KWA HESHIMA YA HAYATI BENJAMINI WILLIAM MKAPA ITAZAME HII VIDEO HAPA

SIMANZI:MAMA ANNA MKAPA AWEKA MASHADA KWENYE KABURI LA HAYATI BENJAMINI WILLIAM MKAPA ITAZAME HII VIDEO HAPA

 

You Might Also Like

Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’

Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi

Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.

Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano

Amnesty yaonya Iran dhidi ya Kunyonga kwa Kesi zinazohusiana na madawa ya kulevya

TAGGED: kikwete, LUPASO, Mkapa, Mtwara, Mwinyi, Rais Magufuli
Edwin TZA July 30, 2020
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VIDEO:Mizinga 21 ya kijeshi imepigwa kwa heshima ya hayati Mkapa
Next Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo July 30, 2020
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
Top Stories June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
Top Stories June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
Top Stories June 2, 2023
Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest
Sports June 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.

June 2, 2023
Top Stories

Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano

June 2, 2023
Top Stories

Amnesty yaonya Iran dhidi ya Kunyonga kwa Kesi zinazohusiana na madawa ya kulevya

June 2, 2023
Top Stories

Elon Musk kwa mara nyingine tena ndiye mtu tajiri zaidi duniani

June 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?