PICHA 15:Rais Samia na Viongozi mbalimbali walivyochanjwa chanjo ya Uviko 19 Ikuku DSM
July 28, 2021
Share
3 Min Read
.
SHARE
Ni July 28, 2021 ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameshiriki uzinduzi wa chanjo ya Uviko 19 katika viwanja vya Ikulu, Jijini Dar es Salaam.
Sasa baada ya uzinduzi huo hapa millardayo.com imekusogezea picha 15 zikimuonesha Rais Samia Suluhu pamoja na Viongozi mbalimbali wakichanjwa chanjo ya kujikinga na Covid-19.