Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Picha 7:Nandy akifunguka kuhusu Nandy Festival inayotarajiwa kufanyika DAR
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
March 26, 2023
Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”
March 26, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Picha 7:Nandy akifunguka kuhusu Nandy Festival inayotarajiwa kufanyika DAR
Habari za Mastaa

Picha 7:Nandy akifunguka kuhusu Nandy Festival inayotarajiwa kufanyika DAR

August 27, 2021
Share
2 Min Read
.
SHARE

Ni Msanii kutokea Bongo Flevani, Nandy ambae leo Agosti 27, 2021 amekutana na waandishi kuelezea maandalizi ya tamasha la Nandy Festival linalotarajiwa kufanyika Dar es Salaam.

Nandy akizungumza na waandishi wa alisema Tamasha hilo litafanyika Mwezi  Septemba 4, 2021 katika viwanja vya Posta.

“Dar ndio kilele kikuu na Dar ndio tunapoishi kwahiyo nikaona sio mbaya mwaka 2019 sikufanya Dar kutokana na bajeti ilikata lakini ninafuraha sana sana mwaka huu naifanya Dar Nandy Festival, hapa nimezungukwa na wadhamini na walikuwa wakitamani iende nje ya Tanzania lakini tunawapa heshima wakazi wa DAR”- Nandy

.

“Kuna watu wameshafanya Tamasha karibia miaka 20 sasa lakini mimi ndio kwanza mwaka wa pili sijui vingi na kila mtu katika tamasha lake ana silaha zake ili kufanikisha tamasha lake nikiwa kama mwanamke, msanii mdogo ambae ninae pambana kwa ajili ya kwangu, timu yangu na Mashabiki wangu na watu wanaopata ajira kupitia Nandy Festival kiukweli tunapitia mazito sana”- Nandy

.

“Kuna Suprise ya wasanii kutoka nje ya nchini zikiwemo Nairobi, US na Nigeria muda sahihi utakapofika tutawataja majina yao, ikumbukwe kwamba 2019 sikuwa nawadhamini hata mmoja nilifanya Nandy Festival kwa nia njema kwamba najua mwaka utakaofuata wadhamini wataona,  nilichokifanya na nyie waandishi mmeshuhudia mwaka huu tulivyopata wadhamini na wamefanya tamasha hili kwa upande mwingine lile rahisi”- Nandy

.
.
.
.

NANDY AMEFUNGUKA SABABU YA KUFANYA MAANDAMANO ATANGAZA KUBWA HILI

 

 

 

 

 

 

You Might Also Like

Sina Tatizo na yeye, mteule wa Rais hanuniwi” Steve Nyerere Kafunguka (+video)

Rihanna & Asap rocky waipanga ndoa yao ya siri , barbados hivi karibuni

MTOTO WA BECKHAM APOST SAA YA MIL 97, ANYWA POMBE NA BABA YAKE

MADONNA AWAJIBU MASHABIKI MUONEKANO WAKE MPYA BAADA YA UPASUAJI!

Enzo avunja rekodi ya Uingereza usajili

TAGGED: Bongo flevani, michezo
Edwin TZA August 27, 2021
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Nandy amefunguka sababu ya kufanya maandamano atangaza kubwa hili (video+)
Next Article Rasmi Cristiano Ronaldo anarudi Manchester United
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
Magazeti March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
Top Stories March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
Top Stories March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
Top Stories March 26, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM

March 26, 2023
Top Stories

Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’

March 26, 2023
Top Stories

Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”

March 26, 2023
Top Stories

Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mwanza limefanya misa Takaridu ya Kumuombea Hayati JPM

March 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?