NI Agosti 28, 2021 zimefanyika Fainali za Ndondo Cup ambapo Vifundo FC ya Temeke imekutana na Tabata All Stars, katika mchezo huo wa dakika 90 kumalizika Vifundo waliibuka kwa ushindi goli 1-0 Tabata All Stars.
Mchezo huo umechezwa katika uwanja wa Bandari uliopo Temeke jijini Dar es Salaam.
Hapa Millardayo.com imekusogezea picha kumi za matukio mbalimbali kutoka kwenye mchezo huo.
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2021/08/43-2-950x632.jpg)
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2021/08/7-950x632.jpg)
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2021/08/5-1-Copy-950x632.jpg)
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2021/08/3-1-Copy-950x632.jpg)
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2021/08/2-4-Copy-950x632.jpg)
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2021/08/654-1-950x632.jpg)
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2021/08/87-1-950x632.jpg)
MAPYA YAIBUKA MWILI WA HAMZA “KUZALIWA KWAKE NI BALAA, WAJE WACHUKUE MWILI”