Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: PICHA: Jerry Muro akabidhi madarasa 29 kwa RC Singida
Share
Notification Show More
Latest News
Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
April 1, 2023
Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM
April 1, 2023
Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
April 1, 2023
Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya
April 1, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > PICHA: Jerry Muro akabidhi madarasa 29 kwa RC Singida
MixNews UpdatesStori Pekee

PICHA: Jerry Muro akabidhi madarasa 29 kwa RC Singida

December 16, 2022
Share
2 Min Read
SHARE

Mkuu wa mkoa wa Singida Peter Serukamba amepokea madarasa 29 yenye thamani ya milioni 580 kutoka kwa mkuu wa wilaya ya Ikungi Jerry Muro ikiwa ni utekelezaji wa agizo lake la kuwataka wakuu wa wilaya kukabidhi vyumba vipya vya madarasa leo tarehe 15/12/2022.

Akizungumza wakati wa makabishiano hayo Mkuu wa Mkoa wa Singida amesema wilaya ya Ikungi imekuwa ya kwanza kwa vipindi viwili mfululizo kumaliza miradi ya ujenzi wa vyumba vipya vya madarasa kwa mkoa wa singida ambapo amempongeza Dc wa Ikungi Jerry Muro pamoja na mkurugenzi wa halmashauri ya ikungi Justice kijazi na mwenyekiti wa halmashauri Ali mwanga kwa kusimamia kikamilifu ujenzi wa madarasa hayo ambayo yamekuwa na kiwango bora kinachoendana na thamani halisi ya fedha.

Akikabidhi madarasa hayo katika hafla iliyofanyika katika shule ya Secondary ya isuna mkuu wa wilaya ya Ikungi Mhe. Jerry Muro amemshukuru Mheshimiwa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuridhia wilaya ya Ikungi kupewa milioni 580 na kusisitiza kukamilika kwa madarasa hayo kunatoa fursa ya kuanza maandalizi ya kuwapokea wanafunzi wapya wa kidato cha kwanza mapema mwezi January mwaka 2023 na kusisitiza katika wilaya ya ikungi hakuna mwanafunzi atakaepangiwa katika shule za ikungi atakosa darasa na kiti na meza mana wameshakamilisha pia uwekaji wa viti 1,160 pamoja na meza zake umekamilika kwa shule zote 16 na kilichopo ni wazazi kuandaa watoto.

Wakiongea kwa niaba ya wananchi Mbunge wa jimbo la singida mashariki Miraji Mtaturu pamoja na mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya ikungi wamewataka wananchi kujiandaa kutumia miundombinu hiyo vizuri kwa kupeleka watoto shule pamoja na kulinda na kutunza miundombinu hiyo uku wakiendelea kumuomba Mheshimiwa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kuleta fedha zingine za miradi kutokana na miradi kusimamiwa vizuri Ikungi.

You Might Also Like

USAID Breakthrough ACTION Launches SPARK Program

Wataalam wa maji watoa wito wa kukabiliana na uhaba wa maji

Kamati ya Bunge ya Miundombinu imeridhishwa na ujenzi wa BRT

Waziri Mkuu awataka vijana na Wanawake kuchangamkia program ya IMBEJU

Watu zaidi ya 1000 wafuturishwa Diamond Jubilee

TAGGED: Stori Pekee
Rama Mwelondo TZA December 16, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mrembo Haitham Kim na Kontawa wametuletea hii single mpya ‘Kitu Kizito’
Next Article 2022 So far: ‘Sallam SK’ afungua kituo cha kurusha matangazo ‘Radio’ DSM
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
Top Stories April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
Top Stories April 1, 2023
Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM
Top Stories April 1, 2023
Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
Top Stories April 1, 2023

You Might also Like

Top Stories

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

April 1, 2023
Top Stories

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

April 1, 2023
Top Stories

Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM

April 1, 2023
Top Stories

Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya

April 1, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?