Ni Octoba 6, 2023 ambapo Kikosi cha Young Africans kimefanya mazoezi yake ya mwisho kabla ya kukutana na Geita Gold katika mchezo utakaochezwa kesho Octoba 7, 2023 katika Uwanja wa CCM Kirumba Mkoani Mwanza.
Picha: Kikosi cha Young Africans kikijinoa kabla ya kukutana na Geita Gold kesho
Leave a comment
Leave a comment