Tayari kikosi cha Young Africans ‘Yanga’ kimewasili katika Uwanja wa Uwanja wa 5 July 1962 huko Algeria kwaajili ya mchezo wao dhidi ya a CR Belouizdad utakaoanza Saa nne kamili Usiku kwa saa nne kamili usiku kwa saa za Afrika Mashariki.
Picha: Kikosi cha Young Africans tayari uwanjani kukipiga na CR Belouizdad huko Algeria
Leave a comment
Leave a comment