Ni Mach 18, 2023 nimekusogezea picha ushuhudie hali ilivyo katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Mashabiki wakiendelea kufuatilia game ya Simba na Horoya ya round ya 5 hatua ya Makundi ya Club Bingwa Afrika.
Picha: kutoka kwa Mkapa hali ilivyo kwenye game ya Simba SC na Horoya
Leave a comment
Leave a comment