Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Kongamano lilohusu Wizara ya Maji
Share
Notification Show More
Latest News
Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
April 1, 2023
Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM
April 1, 2023
Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
April 1, 2023
Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya
April 1, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Entertainment > Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Kongamano lilohusu Wizara ya Maji
EntertainmentTop Stories

Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Kongamano lilohusu Wizara ya Maji

March 17, 2023
Share
2 Min Read
SHARE

Usiku huu kutoka Ukumbi wa Mlimani City, Clouds Media Group imeandaa KONGAMANO lililohusu Wizara ya Maji kama sehemu ya Event yao ya kurasa 365 volume II yenye lengo la kuangazia yaliyofanyika katikasekta Ya Maji Kwenye Kipindi Cha Miaka miwili ya Rais Samia Suluhu Hassan.

Katika shughuli hiyo ambayo imeenda sambamba na maadhimisho ya Wiki ya Maji Kitaifa, Mgeni rasmi alikuwa ni Waziri wa Maji Jumaa Aweso ambaye alipata nafasi ya kuzungumza na kuelezea walipotoka kama Wizara, changamoto walizozipitia na hata mafanikio waliyoyapata Kwa kipindi Cha miaka miwili.

“Wizara tulipotoka ilikuwa Wizara ya kero na lawama niliwahi kwenda Mbeya Vijilini eneo linaitwa Garijembe badala ya kupelekwa eneo la Mradi wa Maji mtaalamu anakuzungusha ila hela zilitolewa na hakuna kilichofanyika”- Waziri wa Maji Jumaa Aweso

Nilipofika eneo ambalo Mradi ulitakiwa kuwepo nilikuta hakuna mradi wowote. Tulimuita mkandarasi tukamuuliza vipi mbona hakuna kilichofanyika akajibu Nimegawana hela na mtaalamu zikitolewa Milioni 30 zake milioni 15 zangu milioni 15 nilishangaa”- Waziri wa Maji Jumaa Aweso

“Niliwahi kufuatilia Mradi kwenye eneo moja linaitwa Mwakitolio Shinyanga huko. Nilipofika pale nikauliza Mradi ulipo naona mtaalamu anasema Mheshimiwa naomba nikunong’oneze nikamwambia hapana sema mbele ya Wananchi wakusikie akaniambia Mheshimiwa hakuna eneo lina wachawi kama hili, usiku mabomba yanapaa”

“Wakati mwingine tatizo ni mtazamo tulikuwa na miradi ya maji 177 huko Bwire. Tayari Miradi 157 imekamilika na miradi ilivobaki tunatarajia kuimaliza mwaka huu.
Zilitoka fedha za Uviko na katika Wizara yetu Rais alitupa Tsh bilioni 135. Kupitia fedha hizo tumejenga miradi 174 vijijini na mini tumejenga miradi 44 jumla ni miradi 218 kwa fedha alizotoa Rais wetu.” Waziri Aweso

.
.

.
.

.
.
.
..

.

You Might Also Like

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM

Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM

Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya

Edwin TZA March 17, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Benki ya CRDB na Mamlaka ya Usimamizi wa Bima waendesha mafunzo hayo DSM
Next Article Bodaboda watakiwa kuzingatia sheria Usalama Barabarani
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
Top Stories April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
Top Stories April 1, 2023
Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM
Top Stories April 1, 2023
Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
Top Stories April 1, 2023

You Might also Like

Top Stories

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

April 1, 2023
Top Stories

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

April 1, 2023
Top Stories

Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM

April 1, 2023
Top Stories

Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya

April 1, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?