Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: PICHA: Mapokezi ya Timu ya Taifa ya Guinea ikitokea CHAN Cameroon
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
June 2, 2023
Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest
June 2, 2023
Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano
June 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > PICHA: Mapokezi ya Timu ya Taifa ya Guinea ikitokea CHAN Cameroon
SportsTop Stories

PICHA: Mapokezi ya Timu ya Taifa ya Guinea ikitokea CHAN Cameroon

February 10, 2021
Share
1 Min Read
SHARE

Timu ya Taifa ya Guinea imerejea nchini Guinea katika mji wa Conakry na kupata Mapokezi Makubwa kutoka kwa mashabiki wa soka nchini humo licha ya kumaliza nafasi ya tatu katika michuano ya CHAN 2020 iliyomalizika nchini Cameroona kwa Morocco kuwa Bingwa.

Guinea walimaliza nafasi ya Mshindi wa tatu kwa kumfunga mwenyeji Cameroon kwa magoli 2-0, hata hivyo Guinea walikuwa na hamasa kubwa toka mwanzo wa mashindano kwani Rais wa Chama cha soka nchini Guinea na mmiliki wa Klabu ya AC Horoya Antonio Souare alileta mashabiki 190 kutoka Guinea kuisapoti timu yao nchini Cameroon.

Guinea kama utakumbuka walikuwa Kundi D na Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars pamoja na Namibia na Zambia, hata hivyo katika mchezo wao dhidi ya Taifa Stars ulimalizika kwa sare ya 2-2 baada ya Guinea kusawazisha wakitokea nyuma na kuifanya Tanzania iage mashindano hayo.

You Might Also Like

Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’

Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi

Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.

Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest

Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano

TAGGED: soka ulaya, top stories
Rama Mwelondo TZA February 10, 2021
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Simba waifuata AS Vita nchini Congo DR, Mkude hayupo tayari anahitaji muda
Next Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo February 10, 2021
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
Top Stories June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
Top Stories June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
Top Stories June 2, 2023
Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest
Sports June 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.

June 2, 2023
Top Stories

Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano

June 2, 2023
Top Stories

Amnesty yaonya Iran dhidi ya Kunyonga kwa Kesi zinazohusiana na madawa ya kulevya

June 2, 2023
Top Stories

Elon Musk kwa mara nyingine tena ndiye mtu tajiri zaidi duniani

June 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?