Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: PICHA: Matukio ya Mkutano Mkuu wa CAF uliyofanyika Tanzania
Share
Notification Show More
Latest News
Waziri Mkuu ashtukia mchezo mchafu Kigoma, ‘zinapotea kinyemela, naleta timu’
September 22, 2023
Waziri wa Michezo, Dkt Damas Ndumbaro ajiuzulu nafasi hii kwenye uongozi wa TFF
September 22, 2023
GSM Home wamekuletea ‘Gulio la Kibabe’, haijawahi tokea wahi sasa, Ommy Dimpoz afunguka
September 22, 2023
Arsenal haihitaji motisha ya ziada dhidi ya Spurs- Arteta
September 22, 2023
Derby ya London Kaskazini huko Arsenal ni ‘changamoto kubwa’ – Postecoglou
September 22, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > PICHA: Matukio ya Mkutano Mkuu wa CAF uliyofanyika Tanzania
Sports

PICHA: Matukio ya Mkutano Mkuu wa CAF uliyofanyika Tanzania

August 11, 2022
Share
2 Min Read
SHARE

Rais wa Shirikisho la soka Duniani (FIFA) Gianni Infantino wakati wa mkutano wa 44 wa CAF ambapo Mgeni Rasmi akiwa Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa  aliongea na waandishi wa habari na kuulizwa maswali kadhaa.

Kutoka kushoto ni Rais wa CAF Patrice Motsepe akiwa na Rais wa FIFA Gianni Infantino wakati wa uzinduzi wa Africa Super League.

Infantino aliulizwa kuhusiana na Afrika kuwahi kuwa mwenyeji wa Kombe la Dunia mara moja tu (2010 Afrika Kusini) anatusaidiaje kuona Afrika inapata nafasi ya kuwa mwenyeji tena.

Rais wa FIFA Gianni Infantino akiwa katika mkutano wa 44 wa CAF

“Tupo hapa pia kwa ajili ya hilo tunataka Afrika iwe mwenyeji wa michuano mingi mikubwa ya kidunia kama alivyosema Motsepe”

Kutoka kushoto Rais wa FIFA Gianni Infantino akiteta jambo na Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa

“Hata AFCON sasa ni michuano mikubwa ya kidunia na ina wachezaji wakubwa wanaofanya vizuri katika vilabu bora duniani ni wachezaji wanaotokea Afrika”

Wajumbe wa Mkutano wakisikiliza hotuba ya Rais wa CAF Patrice Motsepe

Hata hivyo kwa upande wa Rais wa Shirikisho la soka Afrika (CAF) Patrice Motsepe amesema moja kati ya vitu watajadili ni pamoja na ombi la Tanzania la kutaka kuwa mwenyeji wa fainali za mataifa ya AFCON kwa kushirikiana na jirani yake Uganda.

Kutoka kushoto ni Rais wa CAF Patrice Motsepe akmkabidhi bendera ya CAF Rais wa Shirikisho la soka Tanzania TFF Wallace Karia

“Kuna vitu muhimu tunaenda kujadili, kama nilivyosema tunaenda kujadili kuhusiana na Maendeleo ya soka lakini moja kati ya jambo kubwa ni kwamba Tanzania inataka kuwa mwenyeji wa AFCON wakishirikiana na Uganda, Kama unakuwa mwenyeji wa AFCON hii ni michuano mikubwa ya kidunia”>>> Motsepe

You Might Also Like

Arsenal haihitaji motisha ya ziada dhidi ya Spurs- Arteta

Derby ya London Kaskazini huko Arsenal ni ‘changamoto kubwa’ – Postecoglou

Xavi kuongeza mkataba wa Barcelona hadi 2025

Joan Laporta atoa update juu ya matatizo ya kifedha ya Barcelona

Shida ya Man Utd iko katika kila kitu-Bruno Fernandes

TAGGED: Soka bongo, Sports
Rama Mwelondo TZA August 11, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Ndugu abiria kulipwa Milioni 150, Wakili aibua mapya ‘Watu binafsi waliopost meme wajiandae’
Next Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 12, 2022
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Waziri Mkuu ashtukia mchezo mchafu Kigoma, ‘zinapotea kinyemela, naleta timu’
Top Stories September 22, 2023
Waziri wa Michezo, Dkt Damas Ndumbaro ajiuzulu nafasi hii kwenye uongozi wa TFF
Top Stories September 22, 2023
GSM Home wamekuletea ‘Gulio la Kibabe’, haijawahi tokea wahi sasa, Ommy Dimpoz afunguka
Top Stories September 22, 2023
Arsenal haihitaji motisha ya ziada dhidi ya Spurs- Arteta
Sports September 22, 2023

You Might also Like

Sports

Derby ya London Kaskazini huko Arsenal ni ‘changamoto kubwa’ – Postecoglou

September 22, 2023
Sports

Xavi kuongeza mkataba wa Barcelona hadi 2025

September 22, 2023
Top Stories

Kuelekea fainali ya polisi jamii DPA cup mashabiki wajigamba afisa michezo atoa neno

September 22, 2023
Top Stories

UN yaitaka Iran kuachana na sheria mpya kuhusu hijab

September 22, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?