Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Picha: Walimu wapewa mafunzo kazini ‘MEWAKA’
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 3, 2023
June 3, 2023
Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
June 2, 2023
Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest
June 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Picha: Walimu wapewa mafunzo kazini ‘MEWAKA’
Top Stories

Picha: Walimu wapewa mafunzo kazini ‘MEWAKA’

May 11, 2022
Share
2 Min Read
SHARE

Halmashauri 144 kati ya 184 zilizoko Tanzania bara zimenufaika na mafunzo endelevu ha Walimu Kazini (MEWAKA) ili kuwajenge uwezo Walimu katika utoaji wa elimu bora na kuendana na uboreshaji wa Elimu unaoendelea nchi nzima.

Mratibu wa Mafunzo Endelevu ya Walimu Kazini(MEWAKA) Cosmas Mahenge amesema, mpaka sasa Walimu kutoka Halmashauri takribani 122 zimeshapatiwa mafunzo hayo na sasa wanamaliza katika Kanda ya Ziwa na Magharibi.

 

.

Mahenge ameleeleza hayo Mkoani Kagera wakati akiongea na walimu wakati wa kufungua mafunzo hayo Ana kueleza kuwa mafunzo hayo yamelenga walimu wa shule ya awali na msingi lengo ni kuwaendeleza kitaalam na kitaaluma kuwapa mbinu za ujifunzaji na ufundishaji na jinsi ya kuweza kutatua changamoto wanapokuwa katika vituo vya kazi.

Amesema mafunzo ya MEWAKA mbali ya kujifunza mbinu za ujifunzaji na ufundishaji yatamsaidia mwalimu kuendana na mbabiliko yanayotokea katika elimu na jamii tunayoishi na walimu ni lazima wabadilike.

“Niwaombe walimu pamoja na kuendelea kwamafunzo haya yasiathiri ratiba za kufundishia madarasani hivyo kila mmoja asingatie sheria, kanuni na taratibu za mafunzo na tuwe mabolozi wazuri kwa walimu wenzetu na wanafunzi wetu tunaowasimamia” amsesema Cosmas

Kwa upande wa Mwenyekiti wa Wawezeshaji wa MEWAKA Bw. Ferdinand Mlandali amesema, maufunzo yatamsaidia mwalimu kujifunza na kuendana na mabadiliko ya sekta ya elimu.

.

Walimu watawezeshwa kujua njia za kufunza ikiwemo mitaala na kumsaidia kuendana na karne ya 21 ikiwa ni pamoja na mawasiliano, ubunifu, namna ya kujifunza kwa pamoja ili kuwasaidia wanafunzi hata wanapo rudi nyumbani waweza kufanya vizuri.

Aidha, amesema mafunzo haya pia yatamuwezesha mwalimu kujua njia ya “learning management system” na kuweza kujifunza kutumia maktaba mtandao kwa kuweza kupakua/kupata na materials mbalimbali.

Naye Sista Felista Pamerace(Mwl.Shule ya Msingi Mwemage) amesema, wapo tayari kujifunza na kuelekezwa na kuwa mabalozi wazuri wa walimu wenzao kwa kuwaelekeza na kwa wanafunzi kuweza kuwafundisha.

.

 

You Might Also Like

Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’

Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi

Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.

Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano

Amnesty yaonya Iran dhidi ya Kunyonga kwa Kesi zinazohusiana na madawa ya kulevya

Edwin TZA May 11, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Kijana apigwa Risasi mbili za mguu Arusha akizuia nyumba yake isivunjwe (video+)
Next Article Picha mbalimbali kinachojiri kwenye mkutano wa baraza kuu la Chadema DSM
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 3, 2023
Magazeti June 3, 2023
Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
Top Stories June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
Top Stories June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
Top Stories June 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’

June 2, 2023
Top Stories

Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi

June 2, 2023
Sports

Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest

June 2, 2023
Top Stories

Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano

June 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?