Uongozi wa Young Africans ukiongozwa na Rais wetu @caamil_88 pamoja na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji @alexngai85 pamoja na baadhi ya wachezaji wetu, kwa kushirikiana na @gsmfoundationtz leo wametembelea kituo cha Watoto wenye uhitaji kiitwacho Casa famiglia rosetta, kilichopo Jijini Tanga na kuwapatia zawadi mbalimbali.
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2023/11/399899555_18296465269135476_6086589489562729666_n-950x761.jpg)
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2023/11/400037118_18296465260135476_7138367891173571206_n-950x761.jpg)
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2023/11/400109256_18296465251135476_8517809216168370171_n-950x761.jpg)
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2023/11/400070641_18296465239135476_4329848503332278259_n-950x761.jpg)
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2023/11/399885817_18296465230135476_4588987604840925091_n-950x761.jpg)