Uongozi wa Young Africans ukiongozwa na Rais wetu @caamil_88 pamoja na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji @alexngai85 pamoja na baadhi ya wachezaji wetu, kwa kushirikiana na @gsmfoundationtz leo wametembelea kituo cha Watoto wenye uhitaji kiitwacho Casa famiglia rosetta, kilichopo Jijini Tanga na kuwapatia zawadi mbalimbali.
Picha: Young Africans kushirikiana na GSM Foundation watembelea kituo hiki cha watoto wenye uhitaji Tanga
Leave a comment
Leave a comment