Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Picha za muonekano wa ujenzi wa daraja la Mto pangani unavyoendelea
Share
Notification Show More
Latest News
The Snipers Mabingwa wa Pool Table Mashindano ya robo mwaka
December 10, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo December 10, 2023
December 10, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 10, 2023
December 10, 2023
Breaking:Mvua kubwa yaitikisa Kilosa Usiku huu, Magari yasombwa, watu walia kuomba msaada
December 10, 2023
RC Chalamila apongeza Polisi na Barrick kwa kuadhimisha siku 16 za kupinga ukatili
December 10, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Picha za muonekano wa ujenzi wa daraja la Mto pangani unavyoendelea
Top Stories

Picha za muonekano wa ujenzi wa daraja la Mto pangani unavyoendelea

June 2, 2023
Share
2 Min Read
SHARE

Ujenzi wa daraja la chuma la muda la mto pangani umefikia asilimia 25% kukamilika kwake ili kuanza ujenzi wa daraja la mtopangani ambao utagarimu Zaidi ya bilioni 82 hadi kukamilika kwake.


Akitoa taarifa mara baada ya kukagua ujenzi wa daraja la mto pangani Mkuu wa wilaya ya pangani zainab Abdala kwa mwenyekiti wa Chaman cha Mapinduzi CCM mkoa wa Tanga Rajab Abdulhaman Abdala amesema kuwa mradi huo hadi kukamilika utachukua miezi 36 na utagharimu kiasi Zaidi ya bilioni themanini na mbili hadi kukamilika kwake ,ambapo utasaidia wananchi wengi kuondokana na changamoto kivyuko pindi kinapo harika nahivyo kuwakwamisha katika shuhuli zao za kila siku za kujipatia kipato.

Aidha kwaupande wake mwenyekiti wa chama cha mapinduzi ccm mkoa wa Tanga MNEC Ustadh Rajab Abdulhaman Abdalah, amesema anashangazwa na wanaochukia sifa zinazotolewa kwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwani ni muhimu wafike katika miradi inayotekelezwa na serikali wapate cha kusema nasio kubedha.

“Mara zote tunapompongeza na kumsifu mheshimiwa Rais wetu wengine huwa hawatuelewi na ili waelewe wafike site (eneo la mradi) waone anachokifanya kutekeleza ilani ya chama chetu,” alisema Mwenyekiti huyo.

Alisema Chama cha Mapinduzi wakati ule kikinadi ilani yake na kuanisha miradi mbalimbali wapinga Maendeleo ambao ni wapinzani walisema hayatawezekana jambo ambalo lilikuwa si kweli.

Awali akisoma utekelezaji wa ujenzi wa daraja hilo mradi unaotekelezwa na kampuni ya Ms Shandong Luqiua Group ya Kichina, Mhandisi wa Tanroad Mhandisi Safia Maliki Alisema serikali itaigharamia mradi huo kwa asilimia 11.16 na benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) itatoa fedha kwa asilimia 88.84.

Alisema mradi huo ulioanza Desemba mwaka jana na hadi kufikia mwezi huu utekelezaji wake umefikia asilimia 5 kwa kazi mbalimbali zimefanyika ikiwemo ujenzi wa daraja la muda katika daraja hilo.

You Might Also Like

Breaking:Mvua kubwa yaitikisa Kilosa Usiku huu, Magari yasombwa, watu walia kuomba msaada

Habari kubwa Magazetini Kenya leo December 9, 2023

Kivumbi!! Misso Misondo alivyowaleta Jukwaani Dancers wake, Noma wapewa shangwe

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 9, 2023

Waziri wa nchi Ofisi ya Rais atoa maagizo haya kwa Vyama vya siasa

TAGGED: TZA HABARI
Geena TZA June 2, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Habari kubwa Magazetini Kenya leo June 2, 2023
Next Article Ghasia nchini Senegal zaua 9 baada ya Ousmane Sonko kupatikana na hatia
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

The Snipers Mabingwa wa Pool Table Mashindano ya robo mwaka
Sports December 10, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo December 10, 2023
Magazeti December 10, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 10, 2023
Magazeti December 10, 2023
Breaking:Mvua kubwa yaitikisa Kilosa Usiku huu, Magari yasombwa, watu walia kuomba msaada
Top Stories December 10, 2023

You Might also Like

Top Stories

Habari kubwa Magazetini Kenya leo December 9, 2023

December 9, 2023
Top Stories

Kivumbi!! Misso Misondo alivyowaleta Jukwaani Dancers wake, Noma wapewa shangwe

December 9, 2023
Top Stories

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 9, 2023

December 9, 2023
Top Stories

Waziri wa nchi Ofisi ya Rais atoa maagizo haya kwa Vyama vya siasa

December 8, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?