Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: PICHA 2: Basi la timu ya Ruvu Shooting limepata ajali
Share
Notification Show More
Latest News
Utacheka: Mwijaku apanda gari la Diamond ‘Rolls Royce’, Zuchu aangua kicheko, Baba Levo atia neno
August 19, 2022
Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
August 19, 2022
Kiwanda cha Chai Mponde Ujenzi wake umefikia 95%
August 18, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > PICHA 2: Basi la timu ya Ruvu Shooting limepata ajali
Sports

PICHA 2: Basi la timu ya Ruvu Shooting limepata ajali

June 10, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Timu ya Ruvu Shooting leo May 21 2017 wakiwa njiani kutokea Shinyanga walipocheza mchezo wao wa kumalizia msimu wa 2016/2017 wa Ligi Kuu soka Tanzania bara dhidi ya Stand United wamepata ajali wakiwa njiani kurejea Pwani.

Ruvu Shooting wamepata ajali wakiwa maeneo ya Singida kurejea Pwani baada ya bus la timu yao walilokuwa wanasafiria kupasuka tairi ya mbele na kuacha njia, millardayo.com imeongea na kaimu kamanda wa Polisi Singida Isaya Mbugi na kuthibitisha kutokea kwa ajali hiyo.

“Ni eneo baada ya kupita eneo la Manyoni mteremko wa kwanza ndio ajali imetokea baada ya tairi ya mbele kushoto ya basi lao kupasuka basi likaacha njia na kwenda pembeni halikuanguka hakuna madhara kwa mchezaji au mtu yoyote“  – Isaya Mbugi

ULIPITWA? Hii video hapa chini ina maelezo yote ya Alfred Lucas kuhusu Issa Makamba wa Serengeti Boys kurudishwa Tanzania

You Might Also Like

Samatta amerejea KRC Genk ya Ubelgiji

Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’

Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania

Inter Milan wawapa Yanga cha kusema, Shaffi Dauda atia neno, Manara apigilia msumari

Barbara awatuliza mashabiki wa Simba, wataka Mzungu aachwe wana mashabiki na mbinu za Kocha

TAGGED: picha
Admin June 10, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Imani za kishirikina zilizoshangaza watu MbaoFC vs Yanga leo (+video)
Next Article Halima Mdee kasimama tena Bungeni, katumia dakika 10 leo (+ nukuu na video)
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Utacheka: Mwijaku apanda gari la Diamond ‘Rolls Royce’, Zuchu aangua kicheko, Baba Levo atia neno
Entertainment August 19, 2022
Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
Entertainment August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
Top Stories August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
Magazeti August 19, 2022

You Might also Like

Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 18, 2022

August 18, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 16, 2022

August 16, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 15, 2022

August 15, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 14, 2022

August 14, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?