Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Aboubakar Kunenge 23 Mei, 2022 amekagua Daraja jipya la Wami.
Wakati akizungumza na Vyombo vya Habari amesema “ daraja hili linatarajiwa kukamilika mwishoni wa Mwezi Julai, Ujenzi wa daraja unakamilika kwa 91% na barabara takribani 80% Baada ya hapo wataenda kukarabati daraja la zamani kwa muda miezi mitatu na mradi wote daraja jipya na daraja la zamani utakamilika kufikia mwezi Novemba mwaka huu’- Kunenge









