Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mahakama yatupia mbali pingamizi la utetezi kesi ya Ugaidi Mbowe na wenzake
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
March 26, 2023
Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”
March 26, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Mahakama yatupia mbali pingamizi la utetezi kesi ya Ugaidi Mbowe na wenzake
Top Stories

Mahakama yatupia mbali pingamizi la utetezi kesi ya Ugaidi Mbowe na wenzake

October 20, 2021
Share
2 Min Read
.
SHARE

Mahakama Kuu ya Tanzania Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu imetupilia mbali pingamizi la upande wa utetezi katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake.

Pingamizi lililotupwa ni kuhusu madai ya mshtakiwa wa Pili katika kesi hiyo, Adam Kasekwa kwamba alichukuliwa maelezo ya onyo nje muda, pia aliteswa kabla kabla ya kuandika maelezo hayo.

Uamuzi huo umetolewa na Jaji Kiongozi Mustapha Siyani ambapo amesema baada ya kusikiliza hoja za mawakili na mashahidi watatu watatu wa kila Upande, amebaini ushahidi wa Upande wa utetezi hauendani na mapingamizi yao.

“Ninao mapingamizi mawili ya utetezi waliyoyaibua hayana nguvu wala mashiko, kwani ushahidi walioutoa hauendani na mapingamizi waliyoyawasilisha, hivyo nakipokea kielelezo cha Shahidi wa Pili, ACP Ramadhan Kingai,” Jaji Kiongozi Siyani.

Kutokana na kupokelewa kwa kielelezo hicho, kesi hiyo itaendelea katika ngazi ya kesi ya msingi ambapo iliishia kwa Shahidi wa Pili wa Jamhuri, ACP Ramadhan Kingai.

Mbali na Mbowe na Kasekwa, washitakiwa wengine ni Mohamed Ling’wenya na Alfan Bwire ambao wanakabiliwa na mashitaka 6 ikiwemo mawili kula njama, kutenda makosa ya Ugaidi, kukutwa na mali iliyokusudiwa kutumika kutenda vitendo vya kigaidi na kufadhiri vitendo vya Kigaidi (Mbowe).

.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

You Might Also Like

Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM

Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’

Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake

Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”

Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mwanza limefanya misa Takaridu ya Kumuombea Hayati JPM

TAGGED: Mahakamani, Mbowe
Edwin TZA October 20, 2021
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Zurii House Of Beauty inawania Tuzo Consumer Choice Awards Afrika
Next Article Dorah kwa huzuni asimulia ndugu walivyomnyanyapaa “Waliniona mkosi” (video+)
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
Magazeti March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
Top Stories March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
Top Stories March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
Top Stories March 26, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM

March 26, 2023
Top Stories

Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’

March 26, 2023
Top Stories

Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”

March 26, 2023
Top Stories

Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mwanza limefanya misa Takaridu ya Kumuombea Hayati JPM

March 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?