Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda ampongeza T.I.D
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 1, 2023
June 1, 2023
Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)
May 31, 2023
Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo
May 31, 2023
Isaac anayedaiwa kumng’oa Jino mke wake afikishwa Mahakamani, anyimwa Dhamana
May 31, 2023
Katibu wa CCM Daniel Chongolo atoa siku 10 kwa Waziri wa Maji kukamilisha mradi wa maji katika Wilaya ya Kilolo
May 31, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda ampongeza T.I.D
Mix

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda ampongeza T.I.D

February 8, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda leo February 8 2017 amesimama mbele ya Waandishi wa habari kwenye awamu ya pili ya ishu ya dawa za kulevya na kutaja watu mbalimbali wanaotakiwa kufika Polisi Ijumaa kwa ajili ya mahojiano kwa ishu za dawa za kulevya.

Wakati akitaja list hiyo, Paul Makonda ametumia time yake kumpongeza Mwimbaji wa bongofleva TID kwa kukiri kuwahi kutumia dawa za kulevya na kuomba msaada wa Serikali kusaidiwa kuachana na matumizi ya dawa izo.

Haya ndio aliyoyasema Makonda >>> “Asante kwa mtu kama T.I.D, nawapongeza kwa kukiri na kusema kuwa wanatambua namna walivyoingia kwenye utumiaji wa dawa za kulevya na kuomba serikali kuwasaidia kuachana nazo“

'Asante kwa watu kama TID, nawapongeza kwa kukiri na kusema kuwa wanatambua namna walivyoingia na kuomba serikali kuwasaidia'-RC Makonda

— millardayo (@millardayo) February 8, 2017

VIDEO: Walivyofikishwa Mahakamani T.I.D, Rachel, Petitman na wengine, tazama kwenye hii video hapa chini

You Might Also Like

Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)

Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo

RPC geita anena ‘Vijana hawaendi Makanisani, Misikitini na kwenye mizimu’

#UNAAMBIWA:Mihailo Toloto mtawa na mwanaume pekee ambaye hajawahi kumuona mwanamke

Rais wa Afrika ya Kati kuitisha kura ya maoni kuhusu katiba mpya

TAGGED: bongoflevanews, Dar es salaam NEWS, TZA HABARI
Victor Kileo TZA February 8, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article MSG ya dada wa Diamond kwa mama Wema Sepetu kuhusu kesi ya Wema
Next Article CHADEMA mchana huu baada ya jina “Mbowe” kutajwa kwenye orodha ya Makonda
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 1, 2023
Magazeti June 1, 2023
Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)
Top Stories May 31, 2023
Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo
Top Stories May 31, 2023
Isaac anayedaiwa kumng’oa Jino mke wake afikishwa Mahakamani, anyimwa Dhamana
Top Stories May 31, 2023

You Might also Like

Top Stories

Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)

May 31, 2023
Top Stories

Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo

May 31, 2023
Top Stories

Katibu wa CCM Daniel Chongolo atoa siku 10 kwa Waziri wa Maji kukamilisha mradi wa maji katika Wilaya ya Kilolo

May 31, 2023
Top Stories

Rais Mwinyi azindua kamati ya maridhiano

May 31, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?