Polepole ahukumiwa, TCRA msimamo “Miezi sita, chini ya uangalizi” (video+)
December 17, 2021
Share
0 Min Read
SHARE
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imemuhukumu aliyekuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa (CCM), Humphrey Polepole kwa kusimamisha maudhui ya kipindi chake cha Shule ya Uongozi kinachoruka kupitia Humphrey Polepole Online Tv.